du haya!! ila kaka naona kama umemsifia xana huyo dada!! hope hukuwa na feelings za mchepuko!! ha ha ha, joking! pole xana kaka, huyo mumewe anawivu wa kijing!
sijui kama kiongozi yeyote leo angelelewa kwenye maisha magumu ya mtaani angekuwa hapo alipo! ni jambo dogo tu imagine ningekuwa mimi ndio niko ninaomba hela kwenye magar ya vigogo, mvua yangu, jua langu, matusi yangu, hii inajengea taifa laana kwakuwa tunakosea kiumbe hafifu kabisa kisicho kuwa...
me ninadhani haya ni yale mabo ya mtu anakipaji cha siasa(umbea) kwenda kuwa engeneer, au mwenye kipaji cha biashara kuwa lawyer, we should think what is our passion na tusomee hicho tunacho kipenda, nadhan degree zetu zitakuwa worth
Ukisikia ufisadi ndio huo! Kweli baasha wa kwako mwenyewe unamchuna! Hawa ndio wale kuna wa vocha, blackberry, gari, mafuta, karolight. Pole! Ucmpangishie uone? Au wewe unamuonyeshea mawe? Bac akuonjeshe hata kidogo? "PIGA CHINI au unasubiri manyoya"?
Haya mambo yanaelekea kulekule ya Rutto na Railla Odinga, hapa mimi naona kung'aa kwa Zitto na kukubalika kwake ndio kunakuza chama jamani, 2ache mtimanyongo kama anaweza kuchukua Urais 2015 kwanini 2cmpe nia yetu ni mabadiliko sio unafiki? Kijana kigoma kaonyesha mabadiliko ya dhahiri kabisa...
tumekuwa tukiona wakati wa mchakato wa sala zima la kesi za EPA, kulikuwa na mabasi yanayowaleta watuhumiwa, lakini sikuhizi hatuyaoni wadau tusaidiane kujua yalipo kwasababu huu ni unyanyapaaji kwa wafungwa wa hali y chini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.