wakuu natumani ni wazima wa afya
samahani me ni mjasiriamali mdogo
natafuta soko la kuku wa kienyeji kwa ambae anahitaji ani PM
nipo Dar es salaam kigamboni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Helow wana JF,
Natafuta kazi yoyote halali. Umri wangu ni miaka 22 napatikana Kigamboni Dar es salaam. Elimu ya ni Ordinary Diploma in Primary School Teaching.
Nina experience ya miaka 2, na uwezo wa kutumia computer ku type, kuprint pamoja na kutumia mashine ya kupiga copy.
Sent using Jamii...
Waungwana habari za jioni poleni na uchovu wa kazi.
Samahani hivi format ya mitihani ya Kidato cha Pili, Nne pamoja na QT tayari zimeshatoka? Na kama tayari ninaomba mwenye nazo anisaidie.
Asanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.