Huyu Lacazette hana makali siku hz kawa kama Suarez tu akipata mpira anajikanyaga tu alafu anakata tamaa mapema tofauti na Auba japokua Auba naye kuna mda akifika golini anakua na mambo mengi ila kufunga anajua
Habari wadau,
Hivi ni dawa gani kwa yeyote anaejua dawa ya kuotesha nywele/upara/uwalaza ambayo pengine labda ishakua tested na matokeo yake yakaonekana?
Nimesoma huu uzi nmeona maoni tofauti tofauti lkn pia kuna cjui niseme ni kampuni au agent wanaitwa EASYBUY kule mtandaoni nmeona kitu cha usd 7 nikawauliza hadi kinifikie kitagharimu bei gan? Nilipigiwa hesabu hadi ikafika elfu 80 na bado wakaniambia inaweza kuongezeka maana kikifika inabidi...
Kweli kifo habari nyingine uuuuwi
[emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28]
Sikia Hii kali ya leo
Familia moja walifurahi sana kupata mtoto, lakini majonzi yalianza pale walipogundua siku zinaenda lakini mtoto hawezi kutamka neno lolote. Mtoto alizaliwa bubu. Siku moja ghafla wakasikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.