Hana Mamlaka ya kuamuru Polisi kupiga risasi. Ikitokea Polisi wamepiga risasi na kuua raia kisa maandamano anayewajibika ni RPC wa mkoa husika (kama uwajibikaji utakuwepo).
Ila hii wala sio habari kubwa kwa sasa. Ilitarajiwa siku nyingi sana kuwa itakuwa hivyo. Mjadala wa bandari ni muhimu zaidi kuliko hadhi ya kitu chochote. Tuendelee kujadili!
Wewe nenda katafute chanzo…Sio kazi yetu hiyo. Kazi yetu ni kukomenti tunayotaka kwa kutukia bundle zetu. Wewe uzuiliwi kumsifia huyo mal*y* kama unataka.
Bwana eeeh…atutokee hapa kwani yeye tu ndio anatakiwa kuwa KM!? Haya Katumbuliwa….kazi si zinaendelea!? Yeye ameonyesha dharau mbele ya Watumishi wenzake kwa kujiona bora zaidi…Kumbe ukweli ni kuwa yeye ni TAKATAKA tu…Haya sender kuyafokea matoto yake nyumbani uone kama tutamjadili hapa.
Kingeandikwa kitu kizuri au kibaya…Sio hoja whatsoever na ahihalalishi kitu alichofanya. Amefanya kitu ambacho hakijawahi kufanywa na kiongozi yeyote toka mifumo ya Serikali ianze kazi hapa Duniani.
Moderator tunaomba hizi video ziwe pinned kule juu ili wasomaji waone huyu KM alikuwa ni mtu wa aina gani.
Pongezi kwa Mama kwa kutoa hii TAKATAKA kwenye hiyo nafasi.
1. Notisi ya kutanga eneo la bonde la mto msimbazi kuwa eneo hatarishi (hazardous area) ilitoka mwaka 1979; wakati huo hakukuwa na nyumba hata moja;
2. Watu wakaanza kuvamia hilo eneo na kujenga nyumba miaka ya 90;
3. Kisheria, mtu yeyote hastaili kupata fidia yoyote pale anapojenga bila...
Wewe unayeropoka hapa una ushahidi gani kama ndege hazina kutu!?
Mzee wa Chato alitupiga sana kwa kuvuta ndege za mtumba halafu akadanganya wanyonge wa Tanzania kwamba ndege ni brand new.
Ila haina shida Mungu AMEAMUA ugomvi.
Hivi wewe umewezaje hata kujiunga humu JF!?
Binafsi nina mashaka hata kama unaweza ku-log in leave alone kujadili hoja yoyote ndani ya JF hata zilizopo majukwaa kama Mapenzi n.k.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.