Search results

  1. Gai da seboga

    Rais Samia kumtoa Makonda kwenye Uenezi hasa kipindi hiki umefanya makosa makubwa

    Wasalam mabibi na mababu.. Nikiwa katika Tafakari kubwa sana ni kipi kimemfanya Rais Samia kumtoa Makonda kwenye Uenezi na kumpeleka kama mkuu wa Mkoa wa Arusha! Japokuwa mitaa haiishii soga kuna wanaosema bwana mdogo anavimba, kuna wanaosema bwana mdogo ana bifu na GSM na maougomvi, kuna...
  2. Gai da seboga

    Kwa ukuaji wa Mpira Tanzania sasa ni Wakati sahihi wa Rais Mstaafu Mwinyi Kufuta Kauli yake

    Wasalam mabibi na mababu, Ukweli usiopingika ni kuwa zama hizi Kumekuwa na mapinduzi makubwa sana hasa katika mchezo wa Mpira wa miguu, leo hii Tanzania ni fahari tunaona club mbili simba na Yanga zikipambana katika kufika hatua ya robo Fainali katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika, ila ata...
  3. Gai da seboga

    Utaratibu wa Semina za Walimu kwa Sasa, Rais Samia Naomba uingilie Kati...

    Wasalam mabibi na mababu... Bila kupoteza muda, zama hizi za Mama samia kumezuka utaratibu ambao sasa washaufanya ni tabia endelevu katika suala Zima la semina za walimu nchini. Utaratibu huo ni kuwa semina yoyote labda inayohusu maadili, inayohusu mitaala, inayohusu mahiri childhood education...
  4. Gai da seboga

    Fainali ya Mamelodi na Wydad inaonyeshwa chaneli gani Azam?

    Naona muda wa game ushawadia lkn hakuna Chanel azam inayoonesha!!!!
  5. Gai da seboga

    Vodacom kwa hili la changamoto za M-Koba mnazingua Pakubwa sana

    Wasalam mabibi na mababu... Kimsingi vodacom walivyokuja na swala la m-koba niliamini kuwa sasa wamekuja na mageuzi ya kisasa katika swala Zima la uendeshaji wa vikundi vya vikoba mbalimbali. Kuna kikundi cha kikoba ambacho nipo na tuna kama miezi mitatu hivi sasa toka tuanze, Bana miezi...
  6. Gai da seboga

    Watumishi wa serikali ni Kundi linalodharauliwa na kuonekana halina madhara(impact)

    Wasalam mabibi na mababu... Hili kundi linaloitwa watumishi wa serikali lina safari ndefu sana kutoboa kimaisha, hili kundi thamani yake inayochukuliwa na wanasiasa ni ndogo mnoo, sijajua linashushwa hadhi kwa vile halina desturi ya kuandaamana na kufanya migomo! Niki kumbuka kipindi cha...
  7. Gai da seboga

    Zimebaki Siku chache aidha Watumishi wafurahi au wanune

    Wasalam mabibi na mababu, Hatimae siku hazigandi bhana ile mbivu na mbichi kujulikana soon, na ukwel usiopingika kuwa kwa sasa watumishi wa serikali wana shauku sn ya kuona mabadiliko ya mshahara wa mwezi July kutokana na kile kiloitwa kuongezwa kimya kimya, huku wengine wakiamini kutakuwa na...
  8. Gai da seboga

    Mama samia Unajitahidi kuwapandisha Watumishi Madaraja Lakini Vipi Kuhusu Arrears?

    Wasalam mabibi na mababu... Kwanza kipekee nimpongeze Mheshimiwa Rais namna ambavyo anapandisha madaraja watumishi kwa wakati, lakini pia nimpongeze kwa jitihada zake za kuwapandisha daraja la mserereko wale ambao walidhulumiwa kupanda kipindi cha mwendazake. Pamoja na hayo watumishi wengi...
  9. Gai da seboga

    Msaada jamani ili hii Connection itiki/ifanikiwe...

    Wasalam mabibi na mababu... Kuna ndugu yangu ni Mwalimu wa serikali yuko kwenye system muda na anafundisha idara ya Msingi, na kwa Level yake ya Elimu ni Diploma.. Sasa bhana katika harakati zake za kupambania maisha imetokea km zali kukutana na mtu mkubwa sana serikalini huko ktk kujieleza...
  10. Gai da seboga

    Kwahiyo Hakuna Mwalimu Bora katika Mei Mosi?

    Wasalam wakuu, Niko hapa nacheki luninga katika Shamrashamra za Mei Mosi kitaifa huko Morogoro. Kuna kipengele cha kuwapa zawadi watumishi bora, Nimeona watu wakipokea mamilioni ya zawadi ila ajabu sijaona ata Mwalimu Bora wa mwaka wakipokea zawadi zaidi ya kuona wakipewa watumishi toka katika...
  11. Gai da seboga

    Hili la walimu kulazimishwa kuchangia Mwenge na Kushona Sare si Sawa Jamani

    Wasalam mabibi na mababu, Kila nikikaa huwa nawaza hivi hili taifa limempa daraja au hadhi gani Mwalimu, Yani Mwalimu pamoja na kuwa na malalamiko/stahiki zake kibao zisizo pata ufumbuzi lakini ndio watumishi wanaoongoza kuonewa ata katika Jambo la kijinga huku wakitishiwa kufukuzwa kazi na...
  12. Gai da seboga

    Kwanini Mei Mosi ya Mwaka huu 2023 Haina Shamrashamra?

    Wasalam mabibi na mababu... Kila nikivuta kumbukumbu zangu vizuri mwaka jana tarehe hizi mwezi wa nne kulikuwa na hamasa kubwa sana juu ya siku adhiimu ya wafanya kazi-Mei Mosi. Kipindi kama hiki kulikuwa tayari ; 1. Kushafahamika mkoa utakaofanyika Mei Mosi kitaifa. 2. Mavyama ya wafanya...
  13. Gai da seboga

    Tamaa zetu wanaume wakati mwingine zinatuponza hivihivi

    Habari mabibi na mababu, Napitia kipindi cha stress zisizohimilika kwa kuponzwa na Tamaa za kimwili, kufupisha stori ni hivi mwakan mwanzon kabisa nitafanya jambo la harus na mchumba angu wa muda mreefu. Ukiachana na mchumba angu huyo wa muda mreefu ambae mambo ya harus yashakaa sawa ila...
  14. Gai da seboga

    Kama kuna Mtumishi wa Umma anafikiri kuwa nyongeza ya 23% atapata kuanzia laki basi ajue anajidanganya sana

    Wasalam mabibi na mababu. Kundi kubwa la watumishi wa Serikali wanafurahia sana asilimia 23 tena hadi wanajipangia asilimia watazopata kwa kila scale ya mshahara. Ila kiukwel km kuna kipindi ambacho watumishi watapigwa na butwaa basi n katika mshahara wa mwisho wa mwezi huu mana hawataamini...
  15. Gai da seboga

    Rais Samia Tunashukuru kwa madarasa. Je, ajira za Walimu lini?

    Natumai Mko wazima mabibi na mababu. Kwanza napenda kuchukua nafas hii kumshukuru Rais samia kwa ujenzi wa madarasa 12,000 ya sekondari na 3000 shule shikizi kupitia pesa ya mkopo ya uviko 19. Serikali imekuwa ikisifia uongezwaji wa madarasa na kwamba wanafunzi wataanza shule kwa pamoja...
  16. Gai da seboga

    Sitarudia tena kuruka kwenye Daladala ikiwa Haijasimama kama Makondakta

    Wasalam mabibi na mababu. Leo ni miongoni mwa siku ambayo ipo katika rekodi zangu ambazo sitazisahau kamwe hapa duniani. Ilikuwa hivi leo wakati niko maeneo ya kongowe stendi nkasema ngoja nifike tuangoma kuna ishu nifatilie, wakati natoa toa macho kusubiri Daladala kuna jamaa angu wa kitambo...
  17. Gai da seboga

    Kukosa ajira kwa wakati kunasababisha vijana kuwapoteza wanawake wa Ndoto zao

    Wasalam mabibi na mababu... Katika utafiti mdogo nilioufanya vijana wengi wa kiume wanaugulia maumivu makali sana ya kuwapoteza wanawake wa ndoto na maisha yao kutokana na kukosa ajira au ata kibarua kwa wakati. Unakuta kijana alikuwa na msichana wake labda toka shule ya msingi au sekondari...
  18. Gai da seboga

    Leo nina hasira ya kunyimwa Papuchi

    Habar mabibi na mababu.... Leo siku yangu imeenda vibaya sana, na vile sijawahi experience hili tukio bhasi daah naona dunia imenikalia vbaya leo. Kufupisha stori ni kuwa kuna manzi angu mmoja tulishawahi kugegedana sana tu sasa toka majuzi nkamcheki kuwa bhana nko mjini nitunuku...
  19. Gai da seboga

    Uzi Maalum wa kupeana Maujanja ya Cryptocurrency

    Habar zenu mabibi na mababu. Kama mnavojua dunia jinsi inavyoenda kasi hususani katika mapinduzi ya kifedha, sasa hivi ulimwengu unazungumzia cryptocurrency tuu na namna ya kufanya holding ya coin mbalimbali kwa lengo la kutengeneza Pesa. Najua kwa nchi yetu bado tuko nyuma na hata vijana...
  20. Gai da seboga

    Kama kunajengwa Madarasa Mapya, Vipi kuhusu Ajira mpya za Walimu?

    Nawasalim kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Kimsingi sasa hivi serikali ipo katika mchakato mkubwa wa kitaifa wa kujenga madarasa 15,000 nchi nzima, ikiwa madarasa 12,000 kwaajili ya watoto wanaoanza mwakani kidato cha kwanza na madarasa 3,000 kwajili ya shule shikizi za msingi...
Back
Top Bottom