Wasalam mabibi na mababu..
Nikiwa katika Tafakari kubwa sana ni kipi kimemfanya Rais Samia kumtoa Makonda kwenye Uenezi na kumpeleka kama mkuu wa Mkoa wa Arusha! Japokuwa mitaa haiishii soga kuna wanaosema bwana mdogo anavimba, kuna wanaosema bwana mdogo ana bifu na GSM na maougomvi, kuna...
Wasalam mabibi na mababu...
Kwanza yote kwa yote nashukuru Mungu wife kanizalia Katoto, mana miongoni mwa factor za kuonyesha urijali ni kupata katoto.
Sasa mara baada ya 40 kuisha nkasema nifate familia niirejeshe Nyumbani lkn wazee, vijana, marafiki wa kila Rika Wamekuwa wakisema usije...
Mkopo mzuri n wa hazina tu ambao hauna Riba... Watumishi wengi sn wanaumia na hii mikopo na ndioman watumish wanaongoza kwa stress.
Wengi hapa wanabeza na kumuona jamaa mzembe lkn anatupa Funzo kubwa sna kuwa tusikope kope kwny vimeo visivyoeleweka bora kujitia bank, mm binafsi nkikopa bank...
Wasalam mabibi na mababu,
Ukweli usiopingika ni kuwa zama hizi Kumekuwa na mapinduzi makubwa sana hasa katika mchezo wa Mpira wa miguu, leo hii Tanzania ni fahari tunaona club mbili simba na Yanga zikipambana katika kufika hatua ya robo Fainali katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika, ila ata...
Nshajisajil hazina na pal process za kuomb Zipo n kujaza na kusubmitt sasa Halmashauri yang ad sasa cjaon tangazo lolote je naweza omba nkafanikiwa kwa maana taarfa zkaenda kwa HR kimfumo?
Je ile sifa ya kuwa kupewa huu mkopo hutakiw kuwa na mkopo mwingine ipoje??
Hoja yangu sio kulilia hzo semina na posho, hoja ya msing muundo wautoaj mafunzo kwa walimu n mbovu, anachukuliw mwal. Mmoja ktk kata akirudi mwngne keshayasahau alofundshwa, anawatumia muongozo na vitini msome wenyewe, sasa hapo ufanisi kwa walimu unapatikanaje? Zaman mafunzo aya yalikuw...
Hoja yangu sio Kulilia kaz maalum sjui posho, hoja yangu unaandaa mafunzo ya mtaala mpya kitu ambacho n very sensitive inakuwaje anaenda pewa mafunzo mtu mmoja katk kata? Alafu mbaya zaid huyo mtu aloenda akija fanya presentation kwa walimu wenzake n mweupe hana cha maana alopata huko zaidi ya...
kuna walim weng sn wanapambania nje ya mfumo ili maisha yasonge ila ukishaanza kutusua ktk miradi yako n kupigwa fitna na kuhamishwa kituo kupelekwa vijijin, furaha za viongoz na wanasiasa wa nchi hii n kumuona mwlm ananuka ufukara ili waweze kummudu watakavyo...
Wasalam mabibi na mababu...
Bila kupoteza muda, zama hizi za Mama samia kumezuka utaratibu ambao sasa washaufanya ni tabia endelevu katika suala Zima la semina za walimu nchini.
Utaratibu huo ni kuwa semina yoyote labda inayohusu maadili, inayohusu mitaala, inayohusu mahiri childhood education...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.