Habarini waungwana,.. Kwa muda mrefu nilikua nikielezwa kuwa mama mkwe wangu hataki niishi na mwanae na alikua anamshawishi mume wangu aniache na amuoe mwanamke aliyemtafuta yeye kwa madai alimzaa mume wangu ili akija kuoa mwali wake akaenaye,Jambo ambalo kiukweli alishanieleza kw napaswa...
nimefajilia na kugundua kuwa yuko kwenye process ya kuandika mali zetu majima ya dada zake kasoro nyumba ndio kaandika jina la mwanangu, na tayari ameshatafuta mwanamke na ameniambia muda wwte ataondoka aniache na watoto.
Tumeish kwa miaka 13, yeye ni mtoto wa mwisho na wakiume pekee kwao(MMACHAME)Na mm ni mtoto wa 4 kati ya watoto 5(MBENA). Tulioana yeye akiwa na miaka 24 na mm nikiwa na 21, maisha yt yalikua ya chini sana lkn tuliish kwa furaha na upendo wa hali ya juu sana na dada zake walianza chokochoko...
Mimi ni mpare na mume wangu ni mchaga (MMACHAME)....ndoa yetu ina miaka 6 na miaka yote tumeishi kwa furaha na upendo..Mumgu ametujalia watoto 2 mkubwa 5yrs wa kike mdogo 3 month wakiume...Toka nijifungue mtoto huyu wa kiume mume wangu amepunguza mapenzi na mimi na wala hampendi kabisha huyu...
Mi niko mbali sana na ofisi za tigo,Nimejitahd kupiga huduma kwa wateja lkn sijapata ufumbuzi, KWA YYT ATAKAYEWEZA KUNITAFTIA NAMSHUKURU SANA.kwa niaba ya mwenye no.wenu KIMA MDOGO
Alikua mume mwema sana,Mwenye upendo wa hali ya juu sana na mimi na mwanae,Alianza kubadilia baada ya mimi kubeba mimba,Alikua mkatili sana kwangu na hakunijali kabisa kwa kipindi chote cha ujauzito,Niliumia lakini nilijipa moyo kw huenda ni kutokana na ujauzito,...nilishtuka sana baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.