SIo mie ushindwe mie naweza mara 9 hapo ni asubuhi ijioni hadi asubuhi utakavyoo ila uwe na hela ndio itapata stim au ujue kulana vizuri sio nawewe uwe chenga haipendezi . Mi nakupa hadi unakufa kula vizuri na unywe maji
Lazima mkimbiwe heh mnakula chakula cha kijiji kizima.? Mbwa wao heeh maisha yangu sijawahi kula chakula kama hiki hata mimi silipi . Dah kama majamaa fulani walinipeleka mahali tukala eti wamemaliza wananipoint nikawaambia sawa nikajilipia nikasepa hao wadada wajinga sana wapuuzi shenzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.