Sitaki kuamini kwamba, Kuna namna moja au nyingine ambayo huyu waziri wa sasa wa sekta hii ananufaika na hili au BIG GUNS wa mashirika hayo ni watu wake wa karibu na hana uwezo wa kuwafanya lolote.
Biashara hii sasa inaendeshwa kama magenge ya dawa za kulevya. Biashara ambazo unakuta wasemaji...
Most of the time computer huwa zinatreat Routers kama unmetred network.
Chakufanya
1.Hakishasha kila pc unayo connect, network iwe umeiset ni metred connection.
2.Hakisha hakuna mtu mwengine anaye jua hiyo password, ongeza ugumu wa password ikiwezekena.
3. Hakisha umezima huduma za cloud sync...
Israel are Jewish as a Nation and as a religion, they are not Christians they don't even believe in Christianity.
When you're talking about them don't think you're supporting any form of crusade to support your religion.
These people are extremely racists and they are always in dark motive that...
Katika mazungumzo ya kawaida mtu anaweza kutumia mitindo ya lugha miwili ambayo ni moja kwa moja yani Halisi ama tamathali za semi akiwa ana dhumuni moja la mazungumzo au context moja, wenzetu huwa wana haya maneno; Literally and Metaphorically kwenye hili la hapa ni Halisi na Sitiari ndio...
Jina maarufu ni Engineer majina mengine ni Loco Pilot, Locomotive Driver, Engine Driver, Train Driver inategemea na nchi lakini Engineer ndio tunapaswa kutumia
Wewe tulia usichangia kitu, subiri mpaka umalize chuo ndio utoe huu ushauri wako, you are still in apprenticeship.
Ngoja wazoefu waje [emoji23][emoji23]
Wewe haujawahi kucheza PUBG, PUBG hauchezi na Computure, PUBG ni kama LAN party hivi unacheza na binadamu wenzako, ambao wanambinu zinazo badirika kila wakati, hakuna Algorithms wala, pre created character, unaingia online unajoin match watu waliojoin wakifika 100, match inaanza, hakuna sehemu...
HII HOJA NI DHAIFU SANA,
Kwanza inapaswa tuelewe Chuo si shule za ukwanza na upili. Chuo hakisifiwa kwa kutoa GPA kubwa.
Chuo ni taasisi ya elimu inayotoa ujuzi wa juu au mafunzo maalum ya kitaaluma au ya ufundi.
Sifa kuu ya chuo ni kuwaanda vijana waendane na mahitaji ya soko la ajira.
MIT...
Hapo 835KJ Mgambo, baada ya doso la siku nzima wazalendo tulikuwa hangani tunapiga soga, matusi na story za hapa na pale, kumbe kuna maafande wanasikiliza kwa nje, mdudu sijui kinachoendelea nimejilaza kitanda cha kwanza juu kutoka lango la hanga, kumbe kuna afande kaingia kimya kimya akanishika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.