Kutokana na ongezeko mabadiliko ya hali ya hewa, kuongezeka kwa shughuli za uchumi zinazoharibu mali asili. Uhaba wa maji duniani unatabiriwa huko siku za mbele.
Wataalamu wamekuja na choo cha ndani kisichotumia maji. Unaweka mfuko kama lining ndani ya choo, ukimaliza shughuli kuna kifute...
Miaka 8 mtoto anaanza kujitambua kama amependeza. Hapa ukimvalisha maroronya mnakwenda kwenye party anaweza kugoma kwenda. Hapa mzazi kuwa makini kuhakikisha mtoto ni msafi hii inamjengea kujiamini akiwa mbele ya wenzake.
11-12 wengine wanaingia puberty age, hapa anaanza kupenda kupendeza...
Wenye viwanda walitangaza kazi na watu kutoka vijijini walihamia katika miji yenye viwanda. Nyumba zilikua na umeme lakini vyoo na bomba la maji vilikua nje.
Kulikua na mabafu ya kulipia na watu wengi wa hali ya chini walimudu kuoga mara moja kwa wiki. Hizi ni enzi za The Poor Law...
Nimeiangalia habari ya Kajala na Harmonise ninaona ni haya maisha yangu kabisa. Mwaka 2014 nilikutana na kaka mmoja kutoka Ghana, ni mweusi ule weusi unaon’gaa, mrefu 6”2 amepanda. Kijana huyu tulielewana tunaweza kuongea mpaka asubuhi.
Kabila ni Mghana, alisoma Marekani na Uingereza. Ni...
Jirani yangu hapa ninapoishi ni watu wenye uwezo wao. Wote wawili walikua na taaluma na walistaafu. Walijenga nyumba ya ghorofa ya vyumba sita vya kulala. Nyumba ya nyuma walipangisha.
Miaka mitano iliyopita mzee alifariki. Mama ameachwa akiwa na miaka 60+ lakini ni mama wa kileo sana na...
Miaka 20 iliyopita kuna mtu alinipa habari ya nyumba inayouzwa, hii familia ilikuwa inamuuguza mzazi wao na katika shida waliuza nyumba ya familia. Mjengo ulikua vyumba sita na uani choo cha shimo, bafu na jiko, pamoja na vyumba vitatu vya ziada.
Sikutegemea kama nitaishi mitaa ile. Nilionana...
Wizara ya afya ni muhimu sana katika jamii. Jamii yenye afya njema ina uwezo wa kuwa na uchumi bora. Huduma za afya zikiwa karibu zaidi na wananchi inapunguza idadi ya wagonjwa ma hospitalini.
Kuna magonjwa sugu kama magonjwa ya moyo na kisukari, msongo wa mawazo na kadhalika. Wengi wa...
Kaka mmoja alikuja mkoani kwetu kwa barua kutoka Wizarani, aliletwa pale kama Ofisa wa Serikali. Ule mkoa una neema sana, ndani ya miaka miwili yule kaka aliweza kujenga ghorofa pale mjini.
Siku ya ufunguzi wa ghorofa lile, alitualika watumishi wenzake, viongozi wa dini na mama yake mzazi...
Immigrant to sue the UK for £11 million - for making him UNHAPPY
By Nick Fagge for the Daily Mail
12:54 17 Jun 2012, updated 02:01 18 Jun 2012
An immigrant is suing the Government for £11million for making him unhappy after he and his family were ordered to leave the country.
In what appears...
By Jon CohenJul. 7, 2020 , 9:00 AM
A 36-year-old man in Brazil has seemingly cleared an HIV infection making him the proof of principle in humans of a novel drug strategy designed to flush the AIDS virus out of all of its reservoirs in the body. After receiving an especially aggressive...
While you're posting pictures of Black People looting. Don't forget to post these too. Most of the looters were not even a part of the peaceful protests. They were laying waiting on an opportunity like this. Two separate groups of people. But they want to blame it on the Black protesters. I know...
Ilikuwa 2012, nilichukua package holiday ya siku tano ilijumlisha hoteli ya nyota tatu, nauli ya ndege na usafiri wa ndani kwa £1,200. Hii ilikuwa inajumlisha chai asubuhi na chakula cha usiku.
Tulikuwa watu 10 kwenye group kwetu. Tulipofika airport Dereks wa tour alishika bango eneo la...
"If we want to bring about real change, then the choice isn’t between protest and politics. We have to do both," wrote the former president.
After releasing a statement on the police killing of George Floyd in Minneapolis, former President Barack Obama on Monday wrote a more lengthy statement...
New coronavirus guidelines have made it illegal to have sex in your own home with a person from another household from today.
The government is set to lay out the new regulations this morning, which will ban people from socialising indoors with a person from outside your household bubble. The...
Berry farm vacancies 2020
Thank you for showing an interest in working on one of our fruit farms this summer.
As a result of the business impact of COVID-19, we know many people are looking for work and we have numerous seasonal vacancies available on our farms up and down the country. From...
Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo amemuagiza Mkurugenzi wa halmashauri ya Kisarawe kuisajili shule mpya ya wasichana Kisarawe kwa jina la mkuu wa wilaya hiyo, Joketi Mwegelo.
Jokate amepokea taarifa hiyo kwa hisia na kusema hiyo ni heshima kubwa ambayo kuifikia amevumilia mengi ikiwemo baadhi ya...
BLACK Lives Matter protesters filled South London streets today and promised more UK demos over the death of George Floyd in the US.
People marched through Peckham in memory of Mr Floyd, a black man, who died after a white police officer knelt on his neck.
Protesters gathered in south London...
The best present I have given myself is giving up alcohol, eating more fruits and vegetables with drinking plenty of water.
Since quitting a bottle of wine and a glass of cold beer on a hot sunny day I have lost weight and I do look more sexy. My husband is now talking about us having another...
24/03/2020
by Rosalie Hayes,
In response to queries from individuals living with HIV and our colleagues in the sector, we have sought legal advice from Leigh Day on the employment rights of people living with HIV in the context of the COVID-19 pandemic, which we outline below. If you think...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.