Elfu kumi na nane za nini? tumeambiwa local channels zitakuwa za bure.....upuuzi mtupu! najiandaa kuandamana peke yangu, wanatangaza kuwa king'amuzi kinauzwa 39,000/= ukifika pale unaambiwa ni sh. 62,000/= nimeenda kufunga kimegoma wameniambia ninunue antena yao!!!????
Usipompata mpaka mwisho wa mwezi huu, ni pm mimi tuongee. mimi ni senior bachelor, ka elimu ka kutosha ninako, nilikuwa nime suspend suala la kuoa, lakini nina re-think msimamo wangu. karibu sana mdada.:bange:
LA KUACHA WALIPA KODI WAFE?.....HAPANA!!!!! vifaa tiba havipo tunakubali, lakini uwepo tu wa daktari maeneo yale mgonjwa angalau ana kuwa na matumaini fulani. Chonde madaktari rudisheni mioyo nyuma ili mtuhudumie wagonjwa. hii serikali tuachieni sisi tuitie discpline kwenye ballot box 2015...
na bado.... kuna kitu imetulia pale Raskazoni Tanga, adjacent na beach inaitwa TANGA BEACH RESORT... taasisi nyingi za serikali zinaenda kufanyia mikutano pale
Niliachwa ghafla bila kuambiwa sababu ya kuachwa. Nilijitahidi ku let go...... ilinisumbua kwa muda mrefu sana ingawa sikuendelea kubembeleza. Akili yangu iligoma kukubaliana na hali halisi kwa kutoelezwa what went wrong.... hadi mahusiano yakavunjwa
UCHAGUZI UJAO NAGOMBEA URAIS. 3.5 BIL. KWA SAFARI TU? TENA INAWEZEKANA HIZO NI ZA MWEZI MMOJA TU! KWANI WASINGEJARIBU KUCHOTA BILA WOGA WA KUSHTUKIWA. MUNGU WANGU! WAVUJA JASHO TUNAIBIWA BILA HATA CHEMBE YA HURUMA!!!! JAMANI MUOGOPENI MUNGU.
Na Alfred Lucas - Imechapwa 20 June 2012
WAZIRI wa...
Wahenga walishaga sema kitambo, Ukiwa mjinga kaa kimya ili watu wadhani kuwa wewe nimjinga kuliko kuongea na watu wakathibitisha kuwa wewe kweli ni mjinga. Sasa Ngereja anona alivyoumbuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.