Asee kuna point nimepata hapo kwamba kumbe kenya wanamiliki 6% ya ziwa. Dah ila wakenya wako smart sana maana pamoja na kuwa wanamiliki sehemu ndogo sana ila wanaitangaza sana hili ziwa na ili kujiweka tofauti na wengine wenyewe wanatumia hilo jina "NAM LOLWE" Na hata hicho kisiwa cha migingo...
Yap kudate na mama mtu kabla sijamuona binti yake kuja kumuona binti ndo nkapagawa mbaya zaidi kumbe mama alikuwa anamsimulia mtoto kila kitu hawa mama wa uswahilini si mtoto nae katengeneza mazingira dah. Iliniuma sana japo mama mtu hakujua ila mtoto alijua kila kitu ila like jambo lilinipa...
Lengo la serikali kwa sasa ni watoto wale shuleni lakini kwa akili ya watanzania akiwemo huyu jamaa inaonesha ni jinsi gani hatuelewi mambo yanavyoenda
1. Mtoto ni wako mwenyewe ila unaona karaha kumlipia chakula ale eti elimu bure. Kama ungekuja na sababu kuwa wanachanga hela afu walimu ndio...
Chief unakitu naomba unisaidie hiki kitu.
Je?, Unaponunua kiwanja hasa mjini ni nyaraka zipi muhimu kuwa nazo na je? Ni taarifa zipi muhimu napaswa niwe nazo juu ya kiwanja husika.
Ahsante saana naomba nikujibu kama ifuatayo.
1.kwanza yeye bado yupo nyumbani analelewa na ukimwambia habari ya maisha kuwa ni magumu haoni kama n kweli kwasababu bado analelewa
2.halewi, havuti sigara na kuhusu nidhani ni kuwa anaweza kuishi na mtu yeyote yule sema ana ka ushamba flani hvi...
Naombeni ushauri kuhusu mdogo wangu wa kiume ambaye hajamaliza hata shule ya msingi na sasa amekuwa mzigo, kwani mawazo ya kusoma hana. Nataka nimtafutie fani (ufundi) ili mbeleni asijekuwa mzigo, kumbuka ni miaka 18+.
Naombeni ushauri wa fani inayoweza kumfaa na labda pia kama mnajua chuo cha...
Mzee baba hilo hata hulifanyeje haliwezi kuzuilika kwasababu mwalimu hayo ndio marupurupu yake na inavyoonekana wewe una roho mbaya tu kwa walimu.
Au kwa kuwa ulienda kijijini umetaka kuonekana wewe ndio mjanja na labda umewaahidi wazazi utawapazia sauti. Walimu wanaishi maisha magumu mno kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.