kama kichwa cha habari kinavyo jieleza na kama nilivyokwisha changia mada hii,ningependa kuongeza mambo machache kuhusu njia zitumikazo kukusanya taarifa au kero zitolewazo na wananchi.Nitajitaidi kukumbuka machache ambayo muheshimiwa rais J K KIKWETE aliyazungumzia wakati wa mchakato wa katiba...
Si ameshapewa taarifa ya kiasi cha vitambulisho vya mpiga kura vilivyonunuliwa mpaka sasa na vilivyoorodheshwa na wenyewe kutishwa mkiwapigia upinzani tutajua namba zenu tunazo.sasa hukounakotaka kufika kwa hisia potofu ndipokunako watisha watanzania na kutokupigia kura chama chenye vitisho na...
kama watashirikiana kwa nia moja, nguvu moja,sauti moja,bila kujali itikadi zao na kutanguliza uzarendo na mapenzi ya nchi hii kwakweli litafanikiwa kwa asilimia miamoja
mzee mmoja aliekuwa pande la baba miraba minne alikua akitaniana na mjukuu wake mambo yakawa hivi: mjukuu: eti babu uliniambia nianze kuesabbuu,; mmoja niongeze neno kablaya mmoja ambalo ni mtu na mbele ya neno moja kuwe na neno wewe unapata sentesi MTU MMOJA WEWE NA je nikianza kuesabu kuanzia...
mimi ningeanza na ushauri badala ya lawama kwamba tuishinikize katiba iwe na kipaumbele kikuu cha elimu kwa vijana wapate nafasi za kusomeshwa ili walitumikie taifa,elimu inayopaswa itolewe kipaumbele ni elimu ya juu namanisha vyuoni nakuendelea,elimu hii iendane na mambo yote anayopaswa kijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.