Ninauza mabox ambayo hayana kitu, box lina upana wa nchi 11 na urefu wa nch 17.5 box lina kina cha inch 17. Ukiitaji kuanzi 70 unaletewa bule ukiwa Dar, kila box moja bei ni sh 1000.
Unaweza kuja ukanicheki whatsapp kwa simu no. 0785332010, nipo Kigogo ya Gongo la Mboto.
Karibu.
TANGAZO LA KUUZA NYUMBA
NYUMBA INAUZWA IPO GONGO LA MBOTO JIJINI DAR ES SALAM
NYUMBA ZIPO MBILI KUBWA NA NDOGO (BANDA LA UWANI)
NYUMBA KUBWA INA VYUMBA 3 CHOO CHA NDANI JIKO NA SITING ROAM
NYUMBA NDOGO INA VYUMBA 4 KTK VYUMBA HIVYO , VYUMBA 2 VINA VYOO NDANI KWA NDANI NA VYUMBA VIWILI VYOO...
Habari wana jamii, poleni kwa pilika pilika za wiki nzima, poleni karani wa sensa kwa kazi ngumu.
Nimekuja hapa kwa ajili ya kusaidiana kujikwamua kimaisha hasa wale wenye mitaji midogo.
Ikiwa una mtaji kuanzia sh laki 5 - 8 na upo Dar, nakukaribisha ufanye biashara hii ambayo ukiwa tayari...
Habari wa JF natumai ni wazima wa afya tele.poleni wagonjwa .
Miaka fulani nilikuwa naishi ktk mji fulani, sasa siku moja nilikwenda kumtembelea rafiki yangu ambae alikuwa anamiliki duka la kuuza simu. Nilipofika pale wakati tuaendelea na mazungumzo akaja mdada fulani hivi yule mdada alikuwa...
Habari ndugu zangu , leo nimeona nianzishe uzi huu wa vunja mbavu lengo ni kuchangamsha akili pale unapoona haupo sawa.
Uzi huu ni wa kuandika tu sio kutuma picha ukiwa na kichekesho chako unaandika sio kutuma picha za vichekesho .mm naanza na hiki.
Kuna mtanzania alizamia meli na kwenda...
Habari wa jf nauza pikipiki boxer 150 kwa bei ya sh milioni moja na laki 6, (1.6) inapatikana dar kiwalani, haina tatizo lolote karibuni wateja , 0785332010 au 0719103409
Habari wana zengo natumai wote ni wazima wa afya tele.
Mm naomba kufahamishwa faida ya bima ya vyombo vya moto hasa hii bima ndogo ambayo ni lazima kila chombo cha moto uwe nacho, mm naomba kujua nn faida ya huyu mmili wa chombo kama piki piki, bajaji na gali anapata faida gani akiwa nayo?
Habari wana jf,
Kwa siku ya kesho alhamisi ya trh18/02/2021 natafuta gari aina costa au hiace nipo Dar-es-Salaam Kiwalani, gari inatakiwa saa 11 jioni inatakiwa hapa hapa Dar haitoki nje ya jiji?
mwenye nayo anaweza kunicheki kwa simu 0785332010 au 0719103409
Habari za mihangaiko ndugu jamaa na marafil wa jf.
Natumai wazima wa afya tele,
Mm pia cjambo
Wana jamii wenzang ,wake kwa waume vijana kwa wazee, mabibi na mabwana napenda kufuchuka nafasi ya kuwaalika wote kwenye shughuli fupi ya kupeleka mahali kwa familia ya mchumba wangu iliopo majohe...
Nimeamka asubuhi baada ya kujiandaa nikaelekea ofisini kwangu kama ada.
Ofisi yangu ipo mbali lakini kutokana na huu uchumi kati, huwa natembea kwa miguu.
Kufika ofisini nikakumbuka kwamba nimesahau funguo ya ofisi nyumbani hivyo nikaacha begi kwa jirani nikachukue funguo.
Kufika home...
Habari wana JF, natumai ni wazima wa afya tele.
Poleni mliokuwa mahospitlini muda huu Allah atawafanyia wepesi.
Pole mnaopitia changamoto mbali mbali za kimaisha kwa sasa naamini Allah atawafanyia wepesi .
Poleni wafanyakazi wate kwa kupambana na kibarua chenu ili mtelekeze majukumu ya kazi...
Asalam alaykum mabibi na mabwana, poleni kwa majukumu ya kazi za kila siku na kulea watoto.
Je, wewe ni mke au mume?
Je, umeoa au kuolewa?
Ndoa yako bado ina Furaha na amani?
Unaishi vile ulivyotegemea kalba ya ndoa?
Haya ni baadhi ya maswali muhimu kujiuliza ikiwa upo ndani ya ndoa...
Habarai wana jamii , kuna rafiki yangu , alinipa kazi ya kuwa mshenga ,( kupeleka barua ya uchumba kwa wazazi wa binti) mm nikakubali nikaandika barua na ikapangwa siku ya kupeka, ilipofika cku ya kupeleka barua bint akasema hayupo tayali kwa hiyo ikawa imekwisha hiyo.
Sasa anaitajika mwanamke...
Habari wakuu,
Mimi nilikuwa na TIN toka mwaka 2011 na biashara ile sikudumu nayo hata mwaka kwa hiyo leseni ya biashara na tin yake vikawa vimeishia hapo, kipindi kile nafungua biashara makadilio ya Kodi ni sh 35000.
Sasa mwaka huu naitaji kuanza kutumia TIN yangu hapa nawaza kwenda TRA nami...
Habari wana Zengo,
Rafilki yangu anaitaji piki piki boxer ya kununua.
Yupo Dar es salaam.
Piki piki iwe namba B au C
Nahitaji mbili 125 au 150
Ofa yangu ni 850000 kwa kila moja karibuni PM wadau.
Mwenye nayo akuje PM.
Habari za kushehereke Uhuru wetu Watanzania, na wale wasiokuwa watanzania habarini za kazi.
Kuna neno limezuka hapa katikati na limekuwa maarufu sanaa hasa ktk nyanja za soka lkn mm binafsi sijajua maana yake,.
Naomba kuuliza nn maana ya neno" UTOPOLO?; maaana timu kongwe ya mpira wa miguu...
Habari za jumatatu ya mwisho wa mwezi wana JF.
Pole na pilika pilika za jumamosi na juamapili.
Nisiwachoshe sana wana jf.
Natafuta rafiki wa kike awe na umri wowote kuanzi miaka 20 na kuendelea.
Awe anaishi Dar es Salaam
Awe huru kwa lolote na chochote muda wowote,
Natafuta rafiki wa kike...
Habari wana jf poleni na pilika pilika za kila siku,
Naombeni MSAADA wa jambo hili tafadhali,
Kuna mdada ana umri wa miaka 30 alikuwa hajawai kufanya tendo na toka avunje ungo alikuwa hajapata elimu ya usafi hasa ukeni kwa hiyo alikuwa hajawai kujisafika ndani ya uke kama wafanyavyo wanawake...
Asalam alaykum,
Nimekuja na mada ya watu wenye moyo mpweke nikimaanisha watu ambao waliiingia katika mahusiano kisha kupitia hayo mahusiano yakawatenda sanaaaaa kiasi cha kutoka na kuamu kuishi maisha ya upweke yaani moyo hautamani tena kuingia ktk mahusiano, unakaribishwa kusimulia kisa chako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.