Unajua watu wengi wanaona elemu ya dini ni kitu cha ziada sana ndio maana adhabu ikitolewa ktk mafundisho ya dini inakuwa inaonekana kubwa kuliko ikitolewa shuleni.
Wanafunzi shuleni wanapewa adha kubwa zaidi ya hizi, utakuta asubui unapipwa fimbo 3 za kuchewa namba. Mwalimu akiingia darasani...
Kodi kubwa kila sehem yaan sijui wanazaza nn, nilienda ofc kwa jamaa ambae alikuwa ameagiza bia za thamani ya milion 12 ktk zile pia alikuwa amepewa risiti ya mashine mbili risiti moja ilikuwa nyenye dhamani ya sh 1,600,000 , kodi ilikuaa karubia kali 2 ,sasa nikawaza bia za milioni moja la kazi...
Hapo unatakiwa kuwasiliana na mtandao uliotumia kulipa , hao watawasiliana yule dada mtu ambae mmemlipia kimakosa, yule akisema ni kweli imekosea mtarudishiwa mualama wako,
lkn kama unaweza kumapata mtu uliemlipia kimakosa itakuwa rahisi zaid eidha akurudishie pesa ikiwa nae hajalipa,au...
Kuna siku wakati nafanya huduma hii,nilipata mteja kutoka kariakoo makutano uruhu na msimbazi, mteja alikuwa anakwenda chanika kwa ngwale, nikatoka pale mpaka machinga nikaingia nyerere road,mpka chanika namaliza safalu inakuja 20500 kumbe mteja kwake ilisoma 6000, itabidi anipe 10000, mm...
Kuna kabila fulani wana mambo ya kuigana, akiona mwenzia amenunua kifu fulani nae atanunua hicho hicho ndio mana ukiemda moja ya wilaya moro kuna prado nyingiii,
Habari ndugu jamaa na marafiki
Leo nitazungumzia mambo mawili kuhusu single mother, kiufupi kundi hili la wanawake lipo ktk makundi 3
Kundi la kwanza
Singo mother aliefiwa huyu ni ngumu sana kujua tabia yake kwa haraka lkn pia anaweza kuwa na tabia njema .
Kundi la pili
single mother aliekuwa...
Bado unamdai jamaa, maaana , fuata sheria , waambie ule muamala alionitumia umerudishwa , na mm sikupata pesa, , siku nyingine hamisha haraka au toa kwa wakala kabla hamjaachana,
Iddi amini lipindua inch, yeye akawa raisi,
sasa lkn kabla ya hapo kanisa la roma walikuwa wamejenga kanisa kubwa sasa uganda ili litumike kama kituo kikuu cha makanisa yote ya ukanda wa nchi za mashariki,
baada ya amini kuingia madarakani akachukua kanisa na kulifanya msikiti,
Kitendo kile...
Sio uchafu hiyo ndivyo ilivyo,, shemeji yenu nae yupo hivyo hivyo na anaoga mara 3 kwa siku na kwa bibi kupo safi tu, lkn yakianza kuota yaani ile kuchomoza yanakuwa meupeee, ni hali ya kawaida tu
Mwenzenu nimeowa mwanamke mfuupi, sasa kuna ile chemba ya kupandia juu ya dari kwenye nyumba iliowekwa siling boad pale kwenye chemba nimefunga kamba na nishamwambi siku ukininyima najituka paleee
Ikitokea umeamua kununua aina hii tafuta isiokuwa na mataili, yenye mataili inakwama sana kwenye tope, lkn ili uwe na mashine hii na ufanye kazi kwa uhuru ni vema ukawa na trekta kwanza maana hii mashine haina spidi huwa inabebwa kutoka shamba moja hadi jingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.