Search results

  1. The Knowledge Seeker

    Mnataka kununua V8 za Wakuu wa Wilaya na Mikoa huku wagonjwa wanakwama njiani?

    Kama ni magari ya serikali hao madereva bado ni learner's...
  2. The Knowledge Seeker

    Bifu la maslahi, linavyokatisha maisha ya mwana harakati wa mtaani

    Jambo lakufikirisha nikwamba inakuwaje upungufu wa kinga mwilini ukaambukizwa? Think outside the box or rather throw it away ( the box )?
  3. The Knowledge Seeker

    Nimeng'atwa na nyoka ndotoni

    Hakuna namna malizaneni hukohuko
  4. The Knowledge Seeker

    Kilichofanywa na Iran ni trela tu, ila watazamaji (Israel) wakataka movie nzima wataletewa

    Inafikirisha taifa linaloitwa teule bado linaomba backup kwa wamarekani na European.... Huu uteule wa uwoga niwakishetani, mungu hana mbili kwenye moja
  5. The Knowledge Seeker

    Mlango wa kuzimu uliopo nyumbani

    Umekuja na theories nyingi zisizo na facts
  6. The Knowledge Seeker

    Kuhack password ya wi-fi

    Lazima niwe na external wifi adapter?
  7. The Knowledge Seeker

    Alichokifanya leo Makonda ndo Jambo analoweza zaidi. Naionea huruma Tanzania

    Naomba nimpe pole ndugu Pascal Mayalla na kumkumbusha kuwa hawa ndio aina ya viongozi tulio nao katika taifa hili baada ya miaka zaidi ya 50 na ndio wanaowapeleka tanzania katika nchi ya ahadi ambayo sijui wataifiki baada ya miaka mingapi
  8. The Knowledge Seeker

    Makamu wa Rais na Waziri Mkuu wanaweza kumwambia Rais ukweli pale anapotoa maamuzi yasiyo sahihi?

    Majibu haya tunayapata hapa kwaa ndugu Pascal Mayalla karibu tafadhali
  9. The Knowledge Seeker

    Nilipoagiza mzigo AliExpress nikakumbana na rungu la kodi

    Bidhaa nayotaka kununua iko katika masoko ya marekani na uingereza sana sana, swali ni je mko na warehouse kule, maana seller wengi wa marekani au uingereza hawatumia bidhaa zao china. Na china niko na agent tayari kuniletea mzigo wangu saa yeyote
  10. The Knowledge Seeker

    Nimeamini wanaume hawaaminiki

    Mbona umerukia kwenye conclusion, kutongozwa sio kupendwaa unaweza ukatongozeka na ukawa rafiki kama rafiki wengine
  11. The Knowledge Seeker

    Hivi kwanini Mungu ana wivu?

    Kama mti ule wenye lile tunda ulikuwa ni mti wa utambuzi wa mema na mabaya na wakala, basi dunia hii kuna wachache wanajua meya ya huu ulimwengu na mabaya yake... Kwamaana hiyi siri zimhusuyo mungu zajulikana
  12. The Knowledge Seeker

    Niliyoyaona Msumbiji kuhusu vyakula, silaha, mavazi, ngono na mengineyo

    Waziri asilisema twenda Burundi, na tuko burundi sasa wewe wataka tuje msumbiji
  13. The Knowledge Seeker

    Nahisi nina gundu maana sipati mpenzi

    Hawa watoto wa 2000 ??? Tabu kweli kweli
  14. The Knowledge Seeker

    Nefukuzwa kwenye jumba(ghorofa)langu la Mbweni na mke wangu kisa kuibiwa milioni 10 jana

    Ndio leo mara ya kwanza kusikia tajiri natembelea Nissan juke
  15. The Knowledge Seeker

    Kwanini sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi ni muhimu?

    Unazungumzia vipi swala la udukuzi wa taarifa binafsi na kusambazwa mitandaoni
  16. The Knowledge Seeker

    Nchi za Afrika zinazoongozwa vizuri

    Jamaa ndio anafananisha south Africa na bongo. Utawala wa sheria ulioko south huwezi fananisha na utawala wa sheria ya bongo. Bongo hakuna sheria ila watu ndio wako juu ya sheria.. Polisi wa south Africa hata shati haruhusiwi kukushika, ukimwomba ID lazima akupe, bongo polisi ndio hakimu, ndio...
  17. The Knowledge Seeker

    Nchi za Afrika zinazoongozwa vizuri

    Kuongozwa vizuri ni kupoje kwanza kwa mtazamo wako tuanzie hapa.. maana ulivyovusema vya south Africa kila nchi vipi.. Embu tupo uchambuzi wako na ulinganifu wa hizi nchi 2 ulizotelea mfano
Back
Top Bottom