Gambia ni nchi yenye watu 2,417,000 sawa tu na raia wanaoishi viunga vya Tabata na Kimara hapa Tanzania. Sasa Tanzania tuache kazi zetu tukampokee yeye kwa lipi wakati kila siku tunagonga naye vyombo pale Element?
Hana ushawishi huyo jamaa na kwenye hili atafeli vibaya mno. Simba haiishi kwa ruzuku za tff. Na ajue kuwa soka la bongo ni siasa na asisahau kuwa simba ilikuwepo kabla hata yeye hajazaliwa hivyo nikubwa mno asijusumbue hata kuitikisa maana hataweza.
Yaa
Kuna kitu sijakielewa, hivi utopolo na GSM zote mali za Ghalibu? Maana miutopolo isiyo hata na hisa moja kwenye biashara za Gharibu imegeuka kuwa ndiyo misemaji ya GSM. Yaani ukidhamini yanga tu hadi mashabiki wote wanageuka kuwa vijana wako. Hii mambo inatoka wapi hii? Utopolo naomba...
Siku zote wanaopigwa na hivi vijamaa ni wenye matatizo au tamaa. Angekuwa na uwezo wa kunyoosha maisha ya wengine aingepatikani kwa njia hiyo be careful vinginevyo utapukutishwa zaidi ya ulivyo sasa. Ni ushauri wangu tu lakini, unaweza kuuzingatia au kuutupa kule
Hawa Wakenya si ndiyo walianza kuzuia bidhaa kutoka Tanzania kuingia kwao? Sasa makelele ya nini? Si mkauze bidhaa zenu somalia na south sudan. Hapa bongo tu kila shule moja binafsi nusu ya walimu wakenya na ukitembelea hotel zote kubwa wafanyakazi kibao ni wakenya. Ni nani aliwaambia kuwa...
1. Kuvaa mlegezo ni matokeo ya hali ngumu ya uchumi hivyo vijana wananunua suruali over size ili wakue nazo.
2. Kwako wewe ni kipi cha kukera na cha aibu zaidi, kumuona mwanaume akikojoa au akiwa umejikolea?
3. Kumsemea mbaya mtoto wa kike akikukataa ni sawa tu maana imesemwa if you cant...
Haya matusi sasa. Kumbuka hata rais wako anaishi Dar na mashababi wote tuko Dar sasa unapotaka kugeneralise mambo haya siyo fresh kabisa. Huku sisi tunagonga tu awe wa hapahapa au aje wa bara au lije punga tunakung'uta tu. Habari iko namna hiyo msituchukulie poa
Nyie wenyewe sometumes ndiyo chanzo cha kutukata stimu. Unashangaa nikichepuka napiga long range za kutosha tena at a reasonable time lakini nikija kwako ushajisahau kilakitu dakika kumi tu naziona kama wiki
Umesahau kusema kuwa usimiwambie mtu umenenepa au wewe ni mnene ukiwa Ujerumani. Pia hutakiwi kumwambia mtu umezeeka hata kama umri wake jua limezama hayo ni makosa makubwa sana kwa mila na desturi zao. Ni hayo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.