Uzi mzuri mkuu. Sema tatizo la hackers wa tz ni wanajisikia na wanaringa + uchoyoo ndo maana hatuendelei. Wenzetu wanaushirikiano kutufunza hata sisi angalau hata ka programming hata intro tu.. ila sisi ndo roho ya korosho sana
Hao uliowatag rootadmin na Thefreedom nawakubali sana hasa huyu...
Kaka hapa ni tanzania sio mbele. Wenzetu wanaprogram hizo lakn sisi tunajifanya wajuaji kupeana madili kama hayoo ni roho ya koroshoo. Unaweza kupereka taarifa wakazichukua na wakakugeukiwa wewe au kukushit. Hoja uliongea ina maana sehemu ambapo wanatoa pesa kulipa hackers wagundue madhaifu ya...
Uache mambo ya kike ukiona hivooo.... Unamtag ili ablock acc wafunge tu nimeichoka hiii ID ninazo kama 5 humu [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Niaje wakuuu......
Aseee nauza hizi handle kuwa wale watumiaji wa samsung pale endapo simu ikipata moto sana basi kwakutumia handle hiii utaweza tumia simu yako kama pasi.
Interested ni check PM
bei 5000/=
Kikubwa hapo sio kuoneshana nani anajua mkuu. Kwa nchi yetu kupata watu wanaotufundisha haya mambo sisi ambao tulikuwa hatujui hata computer hawa ni wakuheshimu sana. Kikubwa kilikuwa ni kila mmoja au anayempinga mwenzie aje na hoja yake alternative ili sisi bigner tufaidike... Wote sisi ni damu...
Huuu uzi nilikuwa sijausoma wote haya mabishano yanatia raha sanaa ila conclusion ni kwamba wewe unajiiita sijui kali linux hoja zako za kipumbavu na dhati toka mshikaji kapost katika comment zako unaonekana dhati kabisa ulikuwa unampinga ili uonekane wewe ndo unajua kumbe na wewe ni ushuzi wa...
Niaje wadau kama kawa...
Ninazo tp link mr 3420 blue 2019 NEW GUI modern router + umiversal modem nauza (NEW)
FEATURES
1. Inatumia modem ku connect kwa network 3g and 4g
2. Ina both 3g and 4g + WAN backup hii itakufanya kuwa online mda wote hatakama network ikicheza
3. Speed connection ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.