mie nasema hiviiiiiiiiiiiii!!!!!! we waache tu watuibie, hakuna wanachokifanya tusichokijua, watakuja kukimbia hii nchi, kama sio wao basi watakuwa ni watoto wao na wajukuu wao
Hii kali ya mwaka akya mbongo binti mwamadi, mimi mwenyewe nipo hapa magogoni mwaka wa sita huu hii mambo sikudhania!!!! Lkn yana ukweli ndani yake!!!!!!!
Hakuna ufalme wa kibinadamu ambao ulishawahi kudumu milele ispokuwa ufalme wa mungu tuu, hata kama watu watajitoa namna gani kutetea ufalme fulani, kuna siku utaanguka tu hata kama hakuna sababu, just time will tell. Ccm must go its over and over for tanzanian
Yaani hawa MADC SIJUI WAMEOKOTWA WAPI!!! Jana alikuwa DC Igunga, leo Kahama!!! Kweli wadau tujiandae tu vizuri kwa katiba mpya ndo mkombozi pekee wa hawa watu wanaojifanya mangi meza!!!!!!!!??????????
huyu anaota ndoto za mchana!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! yeye sio mtu wa kusema hayo wapo akina mama tunaowaamini na vichwa sio huyu mama hata kidog kama akina Getrude Mongela, Asha Migiro, Anna Tibaijuka, Ananilea Nkya na Ussu Mallya
Raisi kwenda nje ni muhimu na ni kwa manufaa ya nchi yake sema tu ni kwamba inatakiwa unapoenda nje manufaa yaonekane kweli sio kwenda tu kila siku kwa wenzako hata kurudi na ubunifu tu huwezi, hata kama si yeye wale wanaoambatana na Raisi wanastahili kuweka zaidi maslahi ya nchi kwenye kila...
nilikuwa maeneo ya mwanza jana mitaa fulani, akaja mzee mmoja amevaa tisheti ya ccm halafu vijana wakamwambia laive kuwa alitakiwa awe amekufa na kama itafika mwaka 2015 hajafa watawaua wote wanaovaa nguo za ccm!!! yule mzee alinyongonyea sana na it was soo sad kwa kweli, vijana jamani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.