Ni ndugu wa damu, Hatujawahi kugombana, huyu ndugu anenipigia simu kila mara ni mtu mwema na muungwana sana, na tumefahamiana Kwa miaka mingi bcoz wakati nazaliwa yeye ndo alinibeba mgongoni
Akinipigia simu haniombagi hela useme namkwepa sababu ya vizinga, na pia huyu ndugu anajiweza kipesa...
Inawezekana ni kweli mm Nina tatizo, mpaka SAA ingine nawaza kuwa watu kama mm ndo watu wa siku za mwisho tuliotabiriwa kwenye biblia, watu wenye kujipenda wenyewe, tusiopenda wa kwetu Devion Shadeeya
Ndio, hata kama huyu ndugu anaenipigia simu kila mara angekuwa tajiri kuliko mo dewji, bado ningemwanzishia thread, its not about money..huyu ndugu anaenipigia simu kila Mara anajiweza kipesa, na akinipigia haniombagi hela, nina ndugu yangu mwingine, ana pesa nyingi sana, ila simpigiagi simu...
Hivi kuna MTU mwingine huku mwenye tatizo LA kupigiwa simu kila Mara na ndugu, sikatai, ndugu kuwasiliana ni muhimu ila sasa kuwe na limit..huyu ndugu yangu tunaheshimiana sana ila sasa ananipigia simu kila wiki, wakati tukiwasiliana mara moja kwa miezi miwili hiyo inatosha...saa ingine akipiga...
Haha we mtoa mada inaonekana ni mshamba..umemkubali Huyo mwanaume kwasababu huyo mwanaume ni mhindi, ili upate sifa kuwa una-date na mhindi..ungetongozwa na mwanaume wa kibongo ungemkimbiza huyo mwanaume wa kibongo Kwa kumwomba omba hela NAKWEDE
Mara nyingi Wadada wanaoomba pesa k.v elf 20, elf 10 mara kwa mara na siku chache baada ya kutongozwa na mwanaume, kabla hata ya kutoa papuchi, wanalalamikiwa sana na wanaume humu ndani..
Sasa Kwa watu waliotoa hizo pesa na kuoa wadada wa aina hiyo wanaowaomba hela Mara Kwa Mara, kabla ya...
Nadhani ni swala LA emotions na options, utakuta mdada hajavutiwa kimapenzi na mtoa Mada kiviile, yani kakubali ilimradi kakubali, she's with him kumweka jamaa kama spare tyre, to get attention & ego boost, or even money, na pia utakuta bidada anao wanaume wengine wengi wa kumtoa nyege ambao...
Ulichoandika kinaakisi jina lako la jf, unatoa vigezo lukuki, hlf ukute hata chura huna, ungekuwa mzuri/beautiful kama unavojinadi usingekuja humu jf kutafta mchumba, ungewapata wanaume huko huko mtaani Thatdumbgirl
Duniani hakuna cha Bure, hicho chakula cha konde boy Nina mashaka nacho, utakuta ukikila bure, unatolewa kafara, na watanzania Kwa kupenda vya bure, aisee konde boy atawatoa kafara wengii
Hivi haujui kuwa wanaume wote duniani wakiacha kuomba wanawake zao papuchi, na wakiacha kutongoza wanawake, demand ya sex Kwa wanawake itakuwa kubwa...wanawake watakuwa desperate kufanya ngono, so wanawake ndo wataanza kulipia ngono, na kuwatongoza wanaume..kwahiyo wanaume hawatoombwa hela...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.