Kwani Morrison akiwa Simba alikuwa anakaa wapi, marehemu Mafisango? Sidhani kama kuna sheria kwamba, wachezaji hawapaswi kukaa nje, nadhani ni suala la utaratibu. Usichukie pindi jirani yako anaponunua gari, maana, anaweza kuwa msaada wa kukuwahisha hospitali pindi utakapozidiwa!
Hongera, yako bei rahisi. Mimi pil ilivuja kwa mbele, nilishusha gear box, seal ilikuwa 25k. Nilibadili 2 hivyo was 50k, plus ufundi 50k. Ilinitoka 100k. Ila, mine wa gx 100 chaser Avante.
Akili hufanya kazi kulingana na changamoto uliyonayo ama vile ambavyo unataka ifanye! Mshahara ni sehemu tu ya namna ambavyo mtu anaweza kuendesha maisha yake, sio njia pekee! Kuna mmama alikuwa ananiuzia mboga mboga, ila amejenga na anasomesha mwanae Sekondari! Kupanga ni kuchagua.
Hizi Majesta zina 8 Cylinders, hivyo wabongo waelewe hili, maana kama hizi Athlete baadhi ya watu anaipaki mpaka trh za mishahara, basi hili ndio litawekwa makimbusho kabisa[emoji16]
Pole, Ada ni lazima, michango ni jambo la uhiari. Hata hivyo, fanya kwa kadiri ya uwezo na si vinginevyo! Jitahidi kupangilia mambo tu na vyote vitaenda vema.
Unaweza ukawa sahihi kwa sehemu ila kuna mambo ya kuzingatia, changamoto za madereva katika nchi nyingine ni tofauti na changamoto zilizopo hapa nchini, mf, ugonjwa mkubwa hapa kwetu ni kutofuata sheria&kutozingatia ubora wa magari, hilo halihitaji Silaha, bali fine kwa sheria zetu!
Aidha...
Mimi huwa nachangaa sana, hela yako mwenyewe then ikutese! Lazima tuwe na kiasi kadiri ya uwezo. Mara nyingi, mshindi si yule anayeshinda Vita pelee, bali pia, ushindi dhidi ya nafsi.
Pole sana kwa changamoto husika! Ni dhahiŕi kwamba, huyo mwanamke hakufai tena kwa sasa! Aidha, shukuru hilo umelifahamu mapenzi yenu yakiwa katika hatua ya kawaida!
Ushauri wangu, tafuta mwingine sahihi wa kuambatana naye, mind you, "ni rahisi kuchagua kibaya kwenye vingi vizuri, ila ni ngumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.