Umetoa tahadhari ya kweli Kabisa.
Nina ndugu yangu alipata mkasa mkubwa alinunua gari kumbe liliibwa South na Mmliki aliuwawa katika tukio Hilo, maaskari wa Interpol wakabaini lipo Tanzania, kesi ilimtesa sana alikaa segerea miezi kadhaa.
Ilihitaji fedha, Muda na connection kuhakikisha...
Pamoja na kero zozote kutoka kwa ndugu wa karibu wanaosababisha frustrations za maisha usifikirie kupotea au kuwa mahali pasipojulikana.
Uamuzi wa namna hiyo utaacha maumivu makubws kwa wapendwa wako haswa mama na mtoto.
Muhimu ni kujitenga nao na mambo yao na kuacha kuchangamana nao, chagua...
Natambua Msimamo wao huo lakini kwa mazingira ya Sasa na kwa hoja ya "maridhiano" nadhani inatoa loophole kwao kushiriki na hata ikiwa tofauti na matarajio yao (wazee wa goli la mkono wakifanya waliyo zoea kuyafanya) bado kwao watakuwa na sababu kwamba waliamua kushiriki uchaguzi mdogo huu ili...
Kwa Jimbo la Mbarali, Jimbo ambalo kwao kama Chama wana mtaji mkubwa wa Wananchi wanao waunga mkono na ukijumuisha na yaliyotokea kwa sababu zozote zile hawapaswi kususia uchaguzi huu.
Uchaguzi huu Mdogo kwao ni Muhimu sana, na wanapaswa kuutumia kama eneo la "kupasha misuli" ili kuipima nguvu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.