Jde...., namshuru mungu sijajiingiza kwenye madawa ya kulevya,
Rayc,.,.... hata Kama niliingia kwenye madawa Ila kwa Sasa nahitwa mama, mungu ni mwema siku zote.
Yalijili kwenye mtandao wa x zamani Twitter, baada chid kumshauri jde ang'efanya nyimbo za dini.
Kina mwishee wamepumzika lakini mziki unaendelea tu, na wao ndio manguli wa zamani , na mziki wao unaburudisha mpaka leo, mziki utaendelea tu hata huyo mtoto wa tandale akiondoka.
Wenzenu muhimbili wanaajili kidato Cha nne na certificate ya mapokezi Basi,udsm wanatafuta rec.. kidato Cha nne na certificate ya rece.., serikali Tena, nyie vigezo vikubwa alafu watu binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.