SINGIDA MPYA YA KIJANI INAWEZEKANA - SUPHIAN JUMA NKUWI.
Aprili 17, 2024 nimezindua kampeni ya kupanda miti mkoa mzima wa Singida NILIPOZALIWA iitwayo "SINGIDA MPYA YA KIJANI INAWEZEKANA" ambapo kwa kushirikiana na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) tumepanda miti 460 shule ya Msingi...
RAIS SAMIA AWEKWE KWENYE FEDHA, TUACHE WIVU NA CHUKI.
Na; Suphian Juma Nkuwi
Nilishalisema sana hili humu mtandaoni tangu Mhe. Rais Dkt Samia akiwa na miaka miwili ya Utumishi wake Ikulu. Na hata mwishoni mwa mwaka uliopita wa wa 2023 nilipohojiwa na Mtangazaji Chief Odemba katika kipindi cha...
RAIS SAMIA AMETUGHARISHA 2023
Na; Suphian Juma Nkuwi
Wakati tupo kwenye mahitimisho ya nderemo na vifijo vya kufunga mwaka 2023 na kuukaribisha Mwaka mpya 2024; bila shaka kila mmoja wetu asiyeishi kwa bahati mbaya duniani, amejitathimini alipofanikiwa na wapi amejikwaa ajisahihishe kufikia...
WATOTO; KALAMU INAWEZA KUKUTENGENEZA KUWA RAIS SAMIA, WAZAZI; MTOTO WA JIRANI NI WAKO- SUPHIAN
Wiki hii tunapoelekea mwisho wa mwaka 2023, Shule ya awali (Nursery) ya Comfort Day Care and Pre School imefanya Mahafali ya tatu ya kuwaaga watoto wa darasa la awali ambapo Mgeni Rasmi amekuwa Mdau...
SUPHIAN STAR TV LEO 3:30 USIKU NA CHIFU ODEMBA
Leo Jumamosi saa 3:30 usiku nitakuwa LIVE Star TV studio za Dar es Salaam Kipindi cha Medani za Siasa na Mtangazaji wa Kimataifa Chief Odemba ambapo nitahojiwa juu ya harakati zangu za Siasa, na namna ninavyoutafsiri Uongozi na Siasa karim za Rais...
Afisa Tarafa ya Ilongero mkoani Singida, Yahaya Njiku leo Novemba 10, 2023 amefungua Mafunzo ya Ujasiriamali Tarafa ya Ilongero yanayoendeshwa na Shirika la kiraia la Star Entrepreneur General kama sehemu ya kuunga mkono maono ya Rais Dkt Samia ya kuwawezesha Wajasirimali na wafanyabiashara...
WAJERUMANI WALIRUDISHE FUVU LA LITI SINGIDA.
Sijawahi kusikia Rais wa Ujerumani amekuja kwetu Tanzania, hii ndiyo mara ya kwanza. Shikamoo Rais Dkt Samia.
Rais Dkt Frank-Walter Steinmeier atafanya ziara ya Siku 3 kuanzia Octoba 30 hadi Novemba 1, 2023, ambapo pamoja na mambo mengine...
SPIKA TULIA, RAIS MPYA UMOJA WA MABUNGE DUNIANI (IPU)
Spika wetu Dkt Tulia Ackson ameshinda kwa KISHINDO nafasi ya Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) kwa Kura 172, Malawi 61, Senegal 59 na Somalia 11.
Hili ni goli letu tukufu Watanzania kisiasa, Kidiplomasia na kimahusiano duniani...
Rais wetu Dkt Samia amelihutubia Bunge la Zambia leo baada ya kuoombwa ziara ya kuwa Mgeni Rasmi wa Siku ya Uhuru wa Nchi hiyo ya Zambia ambayo ndiye Mteja Mkuu wa Bandari yetu ya Dar es Salaam inayoenda kufanyiwa Mapinduzi ya kiufanisi na DP World ya Dubai.
Nafurahi kuona tuna Rais anayevaa...
KARIBU SINGIDA "IYUU" SAMIA.
Rais Dkt Samia ana ziara ya siku 3 Mkoa niliyozaliwa wa Singida. Hii ni ziara yake ya kwanza Singida tangu awe Rais ambapo pamoja na mambo mengine ataadhimisha BIRTHDAY ya Mkoa wetu wa Singida kwa kufikisha miaka 60 tangu uundwe Octoba 15, 1963.
RATIBA:
Kwa mujibu...
KIFO CHA ACT WAZALENDO NI "POOR PARENTING."
ACT wazalendo ina kila sababu ya kuwa Chama Kikuu cha Upinzani Tanzania, na kuongoza idadi ya madiwani na Wabunge Chaguzi zijazo kulinganisha na CHADEMA.
Udhaifu wake mkuu ni kwenye "Parenting", iwatengeneze Vijana mapema kama CHADEMA ilivyowaibua...
SI KILA SHARI NI LAANA, KUNA SHARI ZINGINE NI KHERI.
Nikiwa nasoma Shule ya Msingi na kwa muda mwingi baada ya kumaliza darasa la saba nilikuwa najishughulisha na biashara ya mbuzi na kuku kijijini kwetu Minyughe Mkoani Singida.
Kabla sijaenda kidato cha kwanza, nilipanga kisirisiri kutoroka...
MIMBA KUANZA KUPANDIKIZWA TANZANIA
Hospitali yetu ya Muhimbili kuanza KUPANDIKIZA MIMBA mwishoni mwa mwaka huu wa 2023, wenye matatizo ya kuzaa wakae chonjo. Maradhi tuliyoona kwa karne hayatibiki Tanzania hadi twende India Rais Dkt Samia kwa mahaba yake tele kwa raia wake ameleta tiba nchini...
Julai 29 na 30, 2023 zilikuwa siku za fahari sana kwangu kisiasa. Nilialikwa kushiriki Ziara ya Siku mbili Wilayani Manyoni ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Singida, Bi. Martha Mlata, mwite "Mama wa Matokeo". Ahsante Mama Mlata kwa heshima hiyo.
Ziara hii ya Mwenyekiti Mlata aliyeambatana na Kamati...
DP WORLD HAWAWEKEZI BANDARI ZOTE, TUSIMMEZESHE MANENO CHONGOLO!!
Nimeona "clip" iliyotengenezwa na vijana wa CHADEMA wakishirikiana na wanaharakati wao kupotosha hotuba ya Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo kwamba DP World itaendesha bandari zote.
SI KWELI: Bali Mhe. Chongolo alikuwa...
IJUE SIASA, USHOGA NA NGENDEMBWE ZAKE!!
Na: Suphian Juma Nkuwi
Salaams!!
Nimekwepo kwenye siasa takribani muongo mmoja sasa. Nimefunza Siasa kwa kuitenda na naendelea kujifunza. Ni sahihi kusema Siasa ndio nguzo kuu iongozayo Nchi. Kila maamuzi ya Siasa humgusa kila mtu kwa kupenda ama...
Taasisi ya Kitanzania ya Miss Jungle International leo Mei 06, 2023 imepokea ujumbe wa Taasisi ya Kimataifa ya nchini India iitwayo International Iconic Awards wenye lengo kuu la kuja kutoa tuzo kwa Rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan baada ya kukoshwa na mageuzi lulu aliyoyafanya kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.