Jamaa amefunga ndoa,ndoa ina miezi kadhaa hata mwaka bado ikafika kipindi wife akapata ujauzito.
Alipoenda kuanza clinic,vipimo vikaonesha ana maambukizi. Clinic wakamuambia aje na mumewe wapime wote, mume akapima hana hayo matatizo yupo salama.
Je jamaa afanyeje, ndoa na iwe basi au? Na pia...
Naomba kujua ni taratibu zipi za kufuata nataka kubadilisha umiliki wa piki piki kutoka jina la aliyeniuzia kuwa jina langu.then nibadilishe namba kutoka za zamani kuwa mpya!!!
Wadau mnakaribishwa kwenye mnada wa vitu mbali mbali, kama fenicha, magari, vyombo vya ndani. Nk mnada utakua siku ya jumaosi tar 20 12 2014 kuanzia saa 2:30 mpaka saa 10:30 pia unaweza kagua pia kwa siku ya leo kuanzia saa 9-12 pm[
ATTACH]212135[/ATTACH]hizo ni bahadhi ya mali zitakazo pigwa...
Kwa matokeo haya ya uchaguzi huu wa madiwani ni ishara tosha kwamba wananchi wameamua kuzungumzia kwenye masanduku ya kura, na ni ishara tosha kwamba bado wananchi wana imani na chama kilichopo madarakani, na hata kama mapungufu yapo ni ya kurkebishika ni hayo tu!nakaribisha kupingwa!!!!!
wadau nlipita mitaa hiyo mida ya saa kumi na mbili asubuhi pale blue fish kukawa kuna watu wengi sana pamoja na defender ya,police mwenye habari zaidi atujuze!!!!!
Ushabiki mwingine siuelewagi jamani,Ikishinda CCM sehemu yeyote Sheria imebakwa Ikishinda CHADEMA sehemu yeyote haki imetendeka kwani CCM haina haki ya kishinda katika sehemi yeyote au kwa jambo lolote na hako ikawa imetendeka hili linakera kuna,mwingine anayekerwa na,hili kama mimi??
magwanda,mbona waoga ivyo wazee, maana ya makamanda ni nini? mnatakiwa muwe ngangari,sio kutishiwa kidogo tu ohh wanataka kutuua,makamanda awatakiwi kuogopa,ogopa vitisho bana,makamanda wa wapi nyie, mnatakiwa muwe ngangari, sitaki kusikia tena atuwezi kuwapa nchi kwa uoga huo .
Malawi's President Mutharika treated for cardiac arrest
Malawi's President Bingu wa Mutharika has been admitted to hospital after suffering a cardiac arrest.
Mr Mutharika, 78, is said to be unconscious in the intensive care unit of a hospital in the capital, Lilongwe, after...
Eh bwana ndugu daktari sipati choo kabisa yani leo nna siku ya tano na nakula ni balaa,ila sasa najamba sana,yani nikiachia kijambo apa mpaka nyumba ya pile, waliniambia nile matunda, munda nakula sana ila bado.
NNAOMBENI USHAURI WAKUU,nina ndugu yangu alioa kama mwaka ivi umepita, na kwa sasa wamebaatika kupata mtt mmoja,tatizo lililopo sasa ni kwamba yule shemeji yetu ni( postive) na alijua toka mwanzo ,nikisema mwanzo namaanisha ni kabla ya ndoa yao yani,ila mungu alivyo mkubwa broo ameenda kupima...
Katika pitapita zangu,nikiwa na shida ya kutafuta mwenza,mimi ni He/ nikakutana na binti mmoja tukazoeana,na tukapendana sana na nikampeleka mpaka hme,na nilivutiwa zaidi na zaid baada ya kuniambia kwamba yy ni bikira hajawai kktana na mwanaume yyte,mimi nkasema dont worry,ayo yote kama ni kweli...
Hallo ba ndugu ba jf, natumai mko bomba na mmejiandaa vyema na kusherehekea sikukuu za mwisho wa mwaka,kwa upande wangu na watakia kila lilo jema ktk kusherekea ,,kila la kheri wadau tup pamoja ,,,,big upppp:welcome:
Jamani ninamaanisha i want to intr ma cv kabla ya yote,kishule nimeishia form four, ila ni mwajiriwa srkln, ma age is 30 yrs,ninayemtaka asivuke 28,elimu form four na kuendelea, na awe na mawazo ya maendeleo,ila na awe tayari kup endwa, nawasilisha wakuu.
Jamani wadau nipo apa, Ferry upande wa magogoni kuna kajibaa flani apa uwaga tunakaaga tukisubiria kivuko, napiga safari yangu ya baaariidi, kaja jamaa mmoja, kajiintrojuce kwangu yeye ni forenar katokea pande za kwa kibaki, amekuja tafuta job apa tz, kwa apa tz amefikia ubungo kwa rafiki yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.