Search results

  1. Iyokopokomayoko

    Kila mtu amekuwa mtaalamu wa computer!

    Kila kitu kipo kwenye mtandao Kila kitu tena hadi video bure huko YouTube. Tatizo watu hawana hobby ya kujisomea. Kagua simu za wanafunzi kama utakuta app ya wikipedia huko ni bahati lakini hutakosa picha za hovyo hovyo Na miziki ya Kila namna!
  2. Iyokopokomayoko

    Je, mtu anaweza ambukizwa magonjwa ya zinaa bila kufanya ngono?

    Hapana, Hilo haliwezekani hasa kwa mjibu wa maelezo yako.
  3. Iyokopokomayoko

    Tiba Kwa kutumia Mshubiri ALOE VERA TONIC

    MziziMkavu kaeleza Kila kitu hadi namna ya kumpata lakini bado mtu anauliza ataipataje. Nilikuwa namjibia tu Na nimecopy Na kupaste
  4. Iyokopokomayoko

    Tiba Kwa kutumia Mshubiri ALOE VERA TONIC

    Hapana mkuu Na hata sijawahi kumuona. Why kuniuliza
  5. Iyokopokomayoko

    Tiba Kwa kutumia Mshubiri ALOE VERA TONIC

    Ukiwa na Swali lolote usikose kunitafuta kwa kubonyeza hapa.Mawasiliano
  6. Iyokopokomayoko

    Utumiaji wa Kahawa

    Kuna nini kibaya kwenye CHAI na KAHAWA?: Kwenye chai na kahawa kuna kitu kinaitwa CAFFEINA/KAFEINA. Kafeina ni nini?: 1. Kafeina ni madawa ya kulevya kundi la stimulants drugs. Utashangaa. Habari ndiyo hii, watu wengi wanatumia madawa ya kulevya kila siku pasipo wao kufahamu. Hii ndiyo sababu...
  7. Iyokopokomayoko

    Mjadala wa Ushauri na tiba ya maumivu makali ya tumbo wakati wa hedhi (dysmenorrhea)

    Usisubiri kiu. Kunywa Maji ya kutosha Kila siku mpaka Lita tatu Na nusu au kunywa juisi ya matunda uliyotengeneza mwenyewe. Maumivu wakati wa period ni ishara huna maji ya kutosha mwilini. Siri IPO hapo.
  8. Iyokopokomayoko

    Ukweli kuhusu UKIMWI

    Mbona hili jambo tumeshalijadili mara nyingi tu hapa jf? Labda wewe ni Mgeni wa jukwaa hili. Nikiwa kwenye PC nitakupa link ya hapa hapa jf. Endelea kukubali kila unachoambiwa Na mzungu
  9. Iyokopokomayoko

    Ukweli kuhusu UKIMWI

    The AIDS Indictment AIDS Epidemic Co-Factors... Recreational Chemical Abuse False Positive HIV Tests Commercial Greed Pharmaceutical Genocide Medical Research Blunders Government Incompetence Hundreds of Thousands Dying Needlessly of AIDS AIDS is Easily Reversible HIV Does Not...
  10. Iyokopokomayoko

    Msaada wa kuondoa makovu

    Piga picha weka ili iwe rahisi. Makovu mara nyingi yanatoka kwa upasuaji na ni gharama sana
  11. Iyokopokomayoko

    Urinary Tract Infection (UTI): Chanzo, Dalili na Kinga/Tiba yake

    Lina urefu gani hilo somo mkuu? tafadhali andika pia kuhusu matibabu
  12. Iyokopokomayoko

    Kwa nini wanawake wengi siku hizi wanazeekea makwao bila kuolewa?

    Tatizo huu usasa ndiyo umetulemaza, vyakula vya kwenye makopo, vinywaji vyenye kemikali na uvivu wa kufanya mazoezi ni sababu kubwa sana.
  13. Iyokopokomayoko

    Hatimaye nimepata dawa ya nguvu za kiume

    Mtumie pm ujuwe kama ni kweli au uongo
  14. Iyokopokomayoko

    Kwa nini wanawake wengi siku hizi wanazeekea makwao bila kuolewa?

    Kila watoto 10 wanaozaliwa 7 ni wa kike na 3 tu ndiyo wa kiume. Wanawake ni wengi sana kiasi kwamba labda kila mwanaume aoe 10 ndiyo kila mmoja atapata bwana
  15. Iyokopokomayoko

    Tangazo tangazo wana jf

    Yaani watu wana muda wa kuchezea aiseee hadi nawaonea wivu
  16. Iyokopokomayoko

    Basi la Air Bus kutoka Dar es Salaam Kwenda Tabora limepata ajali

    Taarifa haijakamilika hii, ngoja niitafute mwenyewe
  17. Iyokopokomayoko

    Hatimaye nimepata dawa ya nguvu za kiume

    Waiuza bei gani hii yako?
  18. Iyokopokomayoko

    Hatimaye nimepata dawa ya nguvu za kiume

    Siyo kweli mkuu. it should be been produced from a chemical process. Na pia kisayansi siyo kweli kuwa kemikali zote ni mbaya au zina madhara mabaya. Ila watu mmekariri vibaya.
Back
Top Bottom