Habari zenu Jukwaa Hili
Ombi langu ni
ninahitaji mke atakayekuwa tayari kuishi nami.
Sifa zangu.
Umri :35yrs
Elimu: Shahada
Kazi : Biashara, Mkulima na mfugaji
Rangi: (wanaita maji ya kunde 🥸)
Dini: Moslem
Kabila : Mgweno
Kimo: mrefu wa kutosha sanaaa [emoji851]
Sifa za mke
1. Umri: 25...
Helo wakuu nahitaji fundi mzuri wa ujenzi, na awe na utaalamu wa kujenga hizi nyumba za kuficha paa.
Kwa sasa nahitaji kupandisha boma kwanza, nyumba ni vyumba 2, kimoja self, jiko seble dining.
Bei ziwe nzuri, mimi ni wale wazee wa kudunduliza ila napenda kitu nzuri
Fundi akitokea maeneo ya...
Hello wakuu mambo vip.
Tafadhali wale wazoefu, naomba kujua makadirio ya haraka haraka kwa msingi tuu, wa ramani hii maana pesa ni za kudunduliza.
Makadirio ya tofali
Makadirio ya mifuko ya cement
NA nondo za lenta ya msingi
Pia na ufundi.
Nyumba ukubwa ni meter 80
Kamjengo nataka kuweka...
Hello wakulungwa na mafundi wabobezi,
Naomba kujua nyumba hii ya vyumba 2 utagharimu tofali kiasi gani!?
Msingi pekee tofali ngapi!? wenye angalau coz 5, napendelea nyumba iwe juu.
Kutoka kwenye msingi mpaka lenta pia?
Maana ujenzi wangu ni ule wa awamu awamu.
Helo wakuu, nahitaji kupata mkopo kutoka taasisi yenye kujali wajasiriamali,
Nahitaji kutanua biashara yangu kiasi,
Naomba ushauri maana dhamana niko nayo ni gari,
Kiwanja kipo lakini hakina title deed,
Ushauri tafadhali
Sent using Jamii Forums mobile app
Husika na heading hapo juu, kuna huu utaratibu mpya ukishapata Tax Clearance toka TRA, inatakiwa ufanye application online ili kupata leseni.
Je, kuna mtu kafanikiwa katika hili, maana nipo mbali na offisi zao na simu hawapokei, sijui ndio wapo likizo.
Msaada tafadhali
Michango
Husika na heading, nahitaji mwanamke (fiance) anayejielewa vyema kuanzia umri wa miaka 22 , elimu sio kigezo sana, kuanzia form 4 akiwa anajua hesabu kiasi itakuwa vyema.
Usiwe mfupi, maana napenda mwanamke mwenye mwili ila sio obesity, chura kiasi, ukiwa brown skin Itakuwa poa Sana, ila sio ya...
Mambo 10 marufuku kwa wanaume
1. Kusomesha mchumba
2. Kujenga nyumba kwenye kiwanja cha mwanamke/mke wako.
3. Kuweka jina la mwanamke/mke wako kwenye umiliki wa mali.
4. Kutunza fedha kwenye akaunti ya mwanamke/mke wako.
5. Kumwamini mwanamke/mke wako kwa 100% (mwamini kwa mama yako tu kwa...
EMPLOYMENT OPPORTUNITY AT CARHUNT TANZANIA
Description
This job requires the individual to have strong persuasion skills, communication (English is a must and Swahili desirable) and negotiation skills; ability to manage time; must have a flair for selling; must be a team player with a...
EMPLOYMENT OPPORTUNITY AT CARHUNT TANZANIA
Description
This job requires the individual to have strong persuasion skills, communication (English is a must and Swahili desirable) and negotiation skills; ability to manage time; must have a flair for selling; must be a team player with a positive...
Hello wadau. Husika na Habari hapo juu
Natafuta mwanamke anayejielewa
-Awe angalau Maji ya kunde au mweupe WA asili no mkorogo
-Mrefu kiasi tuu, asiwe mfupi sana, maana mimi ni mrefu kiasi
-Akiwa na mwili kiasi na shape ya kike itakuwa vyema sana
-Akiwa muislam itapendeza ila dini yoyote Sawa...
Hello mamboleo vip wadau.
Husika na kichwa cha habari hapo juu.
Nahitaji mwanamke mwenye heshima zake
Elimu sio kigezo sanaa ila awe mwelewa, kujituma Kwa kufanya kazi, mapenzi na familia.
Sifa zake.
-Awe mwenye kupenda uasili, asiwe mwenye kubadili asili ya rangi (sipendi kabisa mwanamke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.