Mtoa uzi ni kama umeniwahi, binafsi Voda com wamekuwa wakinifanyia mambo ya kipuuzi toka mwaka jana, nakumbuka mwaka jana siku ya kwanza kuweka buku wakanikata mia mbili mara mbili nikabakiwa na mia sita, nilipo wapigia simu wakasema wamenitoa kwenye huduma nilizo jiunga.
Baada ya mwezi mmoja...
Hivi Google huwa wanafuatilia location za wasomaji, na je itakuwa vp endapo mtagundulika mmejiweka sehemu moja na vip kuhusu mtu mmoja kuwa na simu nyingi zilizo na email tofauti ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.