Utafiti wa Taasisi ya Kinsey Indiana University Marekani umehitimisha kuwa Mwanaume uchepuka kwenye uhusiano/ndoa yake ni dalili ya kuwa na akili ndogo (low IQ), "Wanaume wenye akili kubwa muda wa kuwasaliti Wapenzi au Wake zao hawana kabisa, wanatulia na Mtu mmoja"
KUWA MKWELI SIKU ZOTE
Mwanamke aliingia kwenye bucha ya nyama na kuuliza
"Una kuku?"
Muuza nyama akafungua friza na kutoa kuku pekee ambaye ndiye alikuwa amesalia akamweka kwenye mizani. Mizani ikasoma Kilo 1.5.
Yule mwanamke akamtazama kuku kisha akauliza
"Hakuna mwingine ambaye walau ana...
Kampuni ya electronics, XIAOMI, Imezindua simu mpya ( Xiaomi Mi 10 Ultra) yenye 4,500 mah battery inayoweza kwenda 0% to 100% charge ndani ya dakika 20 tu ikitumia official charger ya watts 120 🔥
Pia simu hiyo ina support 50 watts wireless charging ambapo itatumia 40 minutes pekee kujaa
Simu...
Mkazi wa Ruaha Mbuyuni Mkoani Iringa Chacha Maswi (47) ameiomba Mahakama ya Mwanzo Mbeya impunguzie adhabu huku akijitetea kuwa ana Wake wanne na michepuko watano ambao wote wanamtegemea, pia Mama yake ni mgonjwa mahututi.
Chacha Maswi amefikishwa Mahakama kwa tuhuma za kujipatia fedha Tsh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.