habari wanajamvi...
nina A Level Certificate ya ndugu LUCAS J. MAKOMBE - KWIRO SECONDARY SCHOOL mwaka 2001...
naomba ndugu huyu au yeyote anayemfahamu amjuze ili ani PM niweze mpatia mzigo wake huu...
asanteni...
wakuu hii kitu inanipasua kichwa kwa mrefu sana....
1) naomba mnisaidie katika hili wanajamvi, hivi tunajivunia kweli kuwa wananchi wa hii nchi???kwa lipi???????????
2)kama tunavumilia kuwa watz, ni sababu gani za msingi zinazotupa huo uvumilivu????
nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.