Nilikuwa na deni la Songesha 263,038 ambalo nimekopa dakika zisizozidi 200 nikawa nimeingizwa 2,700,000 lakini zimekatwa 626,000 kama malipo ya songesha na makato! nahitaji ufafanuzi
Nilikuwa na deni la Songesha 263,038 ambalo nimekopa dakika zisizozidi 200 nikawa nimeingizwa 2,700,000 lakini zimekatwa 626,000 kama malipo ya songesha na makato! nahitaji ufafanuzi
Heller ni jina lililotumika na wajerumani kwenye sarafu zao zilizotumika Tanganyika na makoloni yake miaka hiyo wakitawala, hivyo waswahili tukamaanisha fedha yoyote ni hela, hivyo hawajakosea hakuna tofauti kati ya fedha na hela!!!
Wahitimu wa kidato cha sita waliochelewa kuripoti kambini tarehe 11/6/2023 wamezuiwa kuripoti na kuungana na wenzao. Zaidi ya vijana 150 katika kambi ya JKT Mafinga wamerejeshwa wakati wakiripoti jana 12/6/2023 siku moja baada ya tarehe ya mwisho.
Kwa wale waliofika jana jioni walipewa hifadhi...
Salaam
Kuna changamoto ya huduma za malipo ya Bima ya afya GEPG na malipo mengine ya serikali kupitia mawakala inaonyesha hakuna commission wanayopata kwa kupokea na kuwasilisha benki malipo hayo, kinachojitokeza ni kwamba mawakala wamekuwa wanakataa kupokea fedha kwa mteja ili kumwezesha apate...
hamna kitu jana nimeambulia nikiwa church zaidi ya kusimama kwenda kutoa sadaka manake kila inapoishia unakutana na kitu kinaita tafuta inayoendelea!!!! da aisee mwamba umetuwakilisha wanaume ukanda wa afrika mashariki!!!!
Katika story ambazo nimezisoma mfululizo hadi nikiwa kanisani nachukia kusikia tusimame!!! hahahaaaaa yaaani nimetulia kwenye benchi kama nasoma biblia kumbe nasoma story hii kweli watu mna mikasa aisee!!!!
Guerrillas and Combative Mothers: Women and the Armed Struggle in South Africa
Your Wishlist:
Author:
[_id]=1161']Magadla, Siphokazi
Editor:
No contributors in this role
Translator:
No contributors in this role
Price: R 300
Publication Date: 2023-02-27
Binding: Softcover
ISBN: 978 1...
Sasa mimi nimekaa ile hotel iliyomkabala na Ofisi za Mayor wa Durban inaitwa Royol Hotel- the home of hospitallity, nilikuwa natwkeleza majukumu yangu pale BAT Centre-Eneo la Bandarini Durban! story imenikumbusha maeneo mengi, kiufupi nami nilisoma University of Kwazul Natal kozi ya habari...
Aisee kwa watengeneza filamu, hii inaweza kuwa bonge la picha kama muswada wako utakamilika una stori za maisha ya kawaida, mapenzi, urongo kidogo yaani imekamilika halafu inaleta hamu ya nini kifuatacho kuanzia kwenye mapenzi, kwenye biashara na maisha mengine ya mtaani!!! Ila Unaweza msaliti...
nahitaji spare za merecedes Benz engine (W-203) V2597L 6 CYLINDER YA 2001 C -CLASS , VIFAA VIFUATAVYO
A) COIL PACK ( DOUBLE SPARK),
B) THEMOSTARTER
C) CYLINDER HEAD GASKET
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.