Inawezekana mawazo yenu yakawa sahihi, ila muuliza swali anataka biashara ambayo haitaathiri masomo yake. Yaani ambayo you will earn higher for just few hours
<br />
<br />
Pamoja na ushauri mzuri kutoka kwa wa wadau, unapaswa utambue mambo mengine ni ya kiroho zaidi. Huwa hayaonekani lakini effects zake hujidhihirisha kwenye ulimwengu wa mwili na damu. Inawezekana kuna matata 'mchawi' ame-switch off nyota yako na 'kitufe' kaenda kukificha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.