atakuwa amebadili tabia ndo maana mume nae ameamua kumuangalia kma picha tu,pengine mapenzi yamehamishiwa kwa watoto baba amekuwa wa ziada tofauti na zamani. Mwambie akafundwe upya na shangazi yake.
pole sana kwa hayo yaliyokukuta,nachujua mimi alitakiwa atumie kifaa maalumu cha kupanua uke kisha aangalie kwa macho na si hivyo alivyofanya,madaktari wengine wahuni pengine alitaka kukujua uke wako ukoje au la alikuwa na tamaa zake za mwili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.