Hatuhungi mkono porojo, kila mtu anaweza kuongea, na uhalali wa yeye kuwa hapio na kuongea unatoka wapi? angekuwa msafi asingekubali kukalia kiti kisicho chake
Siku walipo mkabidhi cheti magufuli jijini lilijiinamia chini kwa simanzi, wakijiuliza... hiii ni nuksi ganui tena jamani, waTanzania tuna bahati gani mbaya?
NI upuuzi wa hali ya juu kupima ushindi wa vyama chini ya tume ya uchaguzi iliyo chini ya chama tawala, tumeona jinsi matokeo ya wapinzani yalivyo tolewa kwa mbinde... tusipoteze muda kujadili huu ugoro. cha maana majadiliano haya yawepo kama kutakuwa na tume huru, Basi...
Loh kunakazi hapa, magufuli kafanya kazi na bwana mkapa, na kulikuwa na ukiukaji wa matumizi na wizi... lakini sioni popote ambapo mangufuli alishiriki angalau kwa kuonge au kukemea.... leo aweze kuwa shughurikia wakina EPA KIWIrA ..na takataka nyingine hii ni ngumu
ili la watu kumuangalia kiba wakati wewe nia yako ni kumwaga sera hilo ni tatizo kubwa sana... itabidi siku uwakimwapisha tingatinga wawaapishe na wasanii maana mvuto wa tingatinga haukamiiki mpaka asaidiwe na wasaniii
Yaani inamaa mikutano minne tofauti ya tingatinga ndiyo inayo lingana na mmoja wa EL! kasheshe... aliye edit hiyo picha ni mchovu sana katika photoshop
Magufuli ni rais wa wanandondi? na waogeleaji kuelekea kigamboni? majivuni na ujeuri ndiyo hasa yaliyo mkosesha, kiburi si maungwana jibu atalipata 25Oct
kumpa mtama siyo mbaya lakini kura hatumpi piga ua, uongozi ni pamoja na hekima, mtu anatukana kama kaokotwa alafu leo tuone fahari kwamba ni kiongozi wetu, yeye tumeisha mlipa hayo matusi yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.