Ipo hivi, mara nyingi wadada mnateswa na midomo yenu kwenye ndoa, mnaropoka mnajibizana, mnakalipia utadhani na wewe ni mwanaume, midomo yenu miepesi kutoa neno bila kuchuja kwa waume zenu
Sasa kama sahivi mumeo au mpenzi wako HAKUSIKILIZI ujue tuu kuuanafanya hivyo makusudi kukuumiza ili...
Mpya linauzwa 480,000/=
Nimelitumia miezi 5
Nakuuzia kwa 300,000/=
Maongezi yanaruhusiwa
Pia kitanda 6×5 tsh 150,000/=
Sofa la watu watatu..90,000/=
Lengo la kuuza ni kutokana na kwamba nahama mkoa
Namba ya simu ni 0784112347. Nipo Mbagala Zakhem Dar es salaam
Sent using Jamii Forums...
Nina swali la kizushi tuu kidogo,Moja ya matukio ambayo wanawake hukumbuka sana kwenye mapenzi ni kitendo cha kutoa bikra na inasemekana kuwa mwanaume aliyemtoa bikra hukumbukwa mno
Na pia mwanamke anapokuwa kazaa na mwanaume then wakatengana ni rahisi kurudiana ama kupasha viporo .
Sasa...
AGIZA GARI NASI KUTOKA JAPAN
GHARAMA YA GARI NI 12,651,600 Tshs.
MALIPO NI KWA AWAMU MBILI | Anza na 7,135,680 Tshs | Malizia 5,515,953 Tshs.
SIFA ZA GARI.
JINA: TOYOTA RAUM
TOLEO: 2008
INJINI: 1500 cc
IMETEMBEA KILOMITA 64,006km
UWEZO SEAT; 7
MAFUTA: PETROL
TRANS: AUTOMATIC
Tupigie/Tuma Ujumbe/...
Wanaume wenzangu njooni piteni hapa tukumbushane hili jambo,maana huu ndo ukweli wenyewe siku hizi kuna misunderstanding sana juu ya maisha ya kimahusiano baina ya jinsia ya ke na me hata kwenye ndoa.
Suala la kuchagua mke mwajiriwa na kuacha asiyeajiriwa kuna wakati halina maana kwasababu kaa...
Kama unajipenda na kujithamini,utakuwa unaelewa umuhimu wa kutumia vipodozi vyenye ubora na uhakika.
Kuna kitu kipya kwa wengi mimi nimetumia na kushuhudia Maajabu yake maana nilihangaika huku na kule ili kuhakikisha nakuwa na mwonekano mzuri na wakuvutia suluhisho nimeliona na sitaki kuwa...
Habari zenu wadau wa jf, Mimi ni kijana wa kiume kuna jambo linanitatiza sijui niliwekeje iko hivi nimekutana na dada mmoja mazingira mapya ya kazi ambaye Kiukweli amefanana kuanzia sura na sifa na mzazi mwenzangu ,kuhusu mzazi mwenzangu anaishi mkoa mwngine kabisa na sasa Huyu mdada wa kazini...
Nina mchumba wng nmezaa nae mtoto mmoja na ila kulingana na harakati za maisha nilikuwa sijaenda kwao kujitambulisha ila kuna wadogo zake wananifahamu, kwetu hajulikani bado,Mimi naishi Tabora mjini ndiko hata wazazi wangu walipo japo mimi naishi kwangu sio kwa wazazi yeye kwao pwani Mchumba wng...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.