Search results

  1. agala

    Waziri wa Afya atinga Mwananyamala hospitali

    Waziri wa Afya aliyeteuliwa na JPM, leo atinga Hospitali ya Mwananyamala
  2. agala

    Laini ya TigoPesa nauza Nitafute

    Nauza laini ya TigoPesa bei laki 3, kama unataka nicheck kwa hii namba 0654544589.
  3. agala

    Pesa ya Mdhamana!!

    Hivi ile pesa wa mdhaamana huwa inarudi au kurudishwa kama mshatikiwa akishinda kesi??
  4. agala

    Shinda elfu kumi (10,000) na gushit page

    Jishindie elfu kumi(10,000) kwa wale wote ambao hawajawahi kushinda shindano lolote ambalo lishawahi kufanyika... Unachotakiwa kufanya click www.facebook.com/yaKitzKwaWaTz kisha like page yetu ndipo utaweza kushiriki. Utakuta shindano linasema hivi kama nilivyoelezea hapa chini... hadi sasa...
  5. agala

    Utambulisho na Ukaribisho katika FB GUSHIT PAGE - yakiTZ kwa waTZ

    madhumuni yake yako wazi kabisa na kama umejaribu kutembelea page yetu utaona madhuni mengi ila machache tumejaribu kuyaelezea kwenye hii post. thanks
  6. agala

    Utambulisho na Ukaribisho katika FB GUSHIT PAGE - yakiTZ kwa waTZ

    yaah wengi wanatamka kama jina lilivyo lakini sio hivyo na ndio maana wewe ukaliita bullshit lakini linatamkwa "gashit" na sio gushiti... sio wewe wakwanza kutamka hivyo niwengi tuu..... thanks lakini@karucee
  7. agala

    Utambulisho na Ukaribisho katika FB GUSHIT PAGE - yakiTZ kwa waTZ

    Hii ni ya Tanzania hapahapa na wamiliki ni Jigambe Technologies LTD sasa wewe jiunge tuu kwenye hyo page yetu ilikupata vitu kemkem kama nilivyo viorodhesha kwenye post juu hapo thanks kwa kutusifia!!
  8. agala

    Utambulisho na Ukaribisho katika FB GUSHIT PAGE - yakiTZ kwa waTZ

    Ni page inayoelimisha, ambayo chanzo chake ni tovuti inayofanya uchambuzi wa habari kwa njia ya mtandao ijulikanayo kama www.gushit.com. Kwahiyo ndani ya page hiyo utapata uchambuzi wa habari kutoka kwenye tovuti hiyo, utapata elimu za kijamii ya mambo mbalimbali, itakufanya siku yako iwe ya...
  9. agala

    Request for Public Comments by a Tanzanian Web Startup in African News Innovation Challenge

    I think "GUSHIT" is an innovative and powerful concept that explores the role of media in bringing about change in E-JOUNALIST. Know am one of your supporter. Day one to visit Gushit---yakiTz kwa waTz | Recently Updated Activities i wondered a thing that was my thought some day to be done...
  10. agala

    Free internet&sms sim card

    Pouwa tumekupata kaka tutaicheck but it will be better for more exposure ungewacheck hawa jamaa wa jigambeads.com na ujisajili ili utangaze zaidi
  11. agala

    NewER LOGGER please Accept him

    thanks all my fans,am feel gud for your responds.
  12. agala

    NewER LOGGER please Accept him

    Member mpya ndani jf,am self entrepreneur jf member naomba support yenu kama wanaukoo wa jamii forum Am system developer at jigambe technologies co ltd and i run these online technologies system visit them and if better you can use them which are jigambeads.com and jigambe.com
  13. agala

    Hii ndiyo tanzania ya sasa, na tz tuitakayo

    mi naomba watu waitumie hiyo system unayoitangaza kama itakuwanzuri kama unvyoisifia.
  14. agala

    USHAURI: kwa WAAJIRIWA WENZANGU....NI VIZURI UKAFUATWA.

    Life knowledge bure: Nchi yetu inatufundisha tuajiriwe na siyo kujiajiri kutokana na mfumo wetu ulivyo kaa sasa tujaribu kupitia katika taratibu hii maliza elimu yako ajiriwa kisha jiajiri baada ya kupata mtaji halafu ajiri ili tupunguze tatizo la ajiri kwa wahitimu wetu lakini unaposema...
  15. agala

    MAWAZO: kwanini visingeanzishwa vyuo vya ujasiriamali kwa kina MAMA KAYUMBA..?

    Inafahamika wakina mama ndio wadau wakubwa katika KUKUA KWA UCHUMI kutokana na idadi yao tanzania hivyobasi ndo wakopaji wakubwa katika financial institutions hivi kwanini wasingepatiwa elimu najua tatizo ni lugha inayotumika lakini iyo elimu ingetolewa kiswahili katika hivyo vyuo ili hao...
  16. agala

    UNATATIZO: labda IMETOKEA UKASAHAU PASSWORD KWENYE COMPUTER.....UTAFANYA NINI?... NIONE

    ICT KNOWLEDGE: Maelekezo: 1.Zima computer yako kisha iwashe 2.Kabla haijaleta login screen bonyeza function key namba nane yani F8. 3.Chagua boot in safe mode kisha itajifanya inataka password we bonyeza enter key au return key 4.Kisha nenda kwenye user account kwenye control panel futa...
  17. agala

    Kujitangaza ni SEHEMU YA UJASIRIAMALI....lakini kweli!

    BIZ Knowledge bure: Kunawatu watu wanajiita wajasiriamali lakini wako nyuma kwenye kujitangaza au ndo hawafahamu coz zipo forum,blog na baadhi ambazo ni free of expressions kusema chochote unachowaza au ulichonacho either bidhaa au biashara yako kama jamii forum, jigambeblogs ,jigambeads...
  18. agala

    Je unafahamu kuflash simu NOKIA 1280 Wakati imejilock?......NJIA NI NIRAHISI.

    tafuta unlock code generator ya hiyo model kwa kuaandika Free nokia 1280 unlock code generator kwenye google search kisha andika imei zake yani serials zake kwenye hiyo software utazipata ndo utaendelea na hiyo process niliyo kuelekeza.
  19. agala

    Elimu yetu kwenye Internet itakuja wezekana???

    inawezekana mfano c udsm mbona wameianza au unataka kutoa idea mpya juu ya hilo?
Back
Top Bottom