Jishindie elfu kumi(10,000) kwa wale wote ambao hawajawahi kushinda shindano lolote ambalo lishawahi kufanyika...
Unachotakiwa kufanya click www.facebook.com/yaKitzKwaWaTz kisha like page yetu ndipo utaweza kushiriki.
Utakuta shindano linasema hivi kama nilivyoelezea hapa chini... hadi sasa...
yaah wengi wanatamka kama jina lilivyo lakini sio hivyo na ndio maana wewe ukaliita bullshit lakini linatamkwa "gashit" na sio gushiti... sio wewe wakwanza kutamka hivyo niwengi tuu..... thanks lakini@karucee
Hii ni ya Tanzania hapahapa na wamiliki ni Jigambe Technologies LTD sasa wewe jiunge tuu kwenye hyo page yetu ilikupata vitu kemkem kama nilivyo viorodhesha kwenye post juu hapo thanks kwa kutusifia!!
Ni page inayoelimisha, ambayo chanzo chake ni tovuti inayofanya uchambuzi wa habari kwa njia ya mtandao ijulikanayo kama www.gushit.com.
Kwahiyo ndani ya page hiyo utapata uchambuzi wa habari kutoka kwenye tovuti hiyo, utapata elimu za kijamii ya mambo mbalimbali, itakufanya siku yako iwe ya...
I think "GUSHIT" is an innovative and powerful concept that explores the role of media in bringing about change in E-JOUNALIST. Know am one of your supporter. Day one to visit Gushit---yakiTz kwa waTz | Recently Updated Activities i wondered a thing that was my thought some day to be done...
Member mpya ndani jf,am self entrepreneur jf member naomba support yenu kama wanaukoo wa jamii forum
Am system developer at jigambe technologies co ltd and i run these online technologies system visit them and if better you can
use them which are jigambeads.com and jigambe.com
Life knowledge bure:
Nchi yetu inatufundisha tuajiriwe na siyo kujiajiri kutokana na mfumo wetu ulivyo kaa sasa tujaribu kupitia katika taratibu hii
maliza elimu yako ajiriwa kisha jiajiri baada ya kupata mtaji halafu ajiri ili tupunguze tatizo la ajiri kwa wahitimu wetu lakini unaposema...
Inafahamika wakina mama ndio wadau wakubwa katika KUKUA KWA UCHUMI kutokana na idadi yao tanzania
hivyobasi ndo wakopaji wakubwa katika financial institutions hivi kwanini wasingepatiwa elimu najua tatizo ni lugha
inayotumika lakini iyo elimu ingetolewa kiswahili katika hivyo vyuo ili hao...
ICT KNOWLEDGE:
Maelekezo:
1.Zima computer yako kisha iwashe
2.Kabla haijaleta login screen bonyeza function key namba nane yani F8.
3.Chagua boot in safe mode kisha itajifanya inataka password we bonyeza enter key au return key
4.Kisha nenda kwenye user account kwenye control panel futa...
BIZ Knowledge bure:
Kunawatu watu wanajiita wajasiriamali lakini wako nyuma kwenye kujitangaza au ndo hawafahamu coz zipo
forum,blog na baadhi ambazo ni free of expressions kusema chochote unachowaza au ulichonacho either bidhaa au biashara yako
kama jamii forum, jigambeblogs ,jigambeads...
tafuta unlock code generator ya hiyo model kwa kuaandika Free nokia 1280 unlock code generator kwenye google search kisha andika imei zake yani serials zake kwenye hiyo software utazipata ndo utaendelea na hiyo process niliyo kuelekeza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.