Nilipanda basi siti niliokaa alikuwepo binti amekaa na mtoto wake kama wa miaka 4 hivi halafu kamwambia Yule mtoto mwamkie babu!!!
Nikachoka Ila baada ya miaka machache Nakaanza kuzoea maana hata mtaani watoto wadogo wanakuamkia shikamoo babu[emoji16][emoji16][emoji16]
Inabidi na wewe sometimes uone aibu, kama Jambo la kawaida hulijui na huna taarifa nalo utajuaje Jambo nyeti?
Kuwa mpole Tu umechemka[emoji16][emoji16][emoji16]
Ukipata nafasi angalia roundi 4 walizopigana Thomas hearns "the motorcity cobra" Vs Marvin Heagler. Au angalia Ko aliopigwa Roberto Duran na Tommy Hearns "the hitman"
Ndio utajua kuwa kuna watu wanajua kupiga[emoji16][emoji16][emoji16]
Pamoja mkuu, Mimi nilicheza nikiwa bado mdogo kuanzia darasa la 3 mpaka form 4 nikaachana nayo nilipoenda A-level, it's a brutal game. I was a bit successful as young fighter in lower weights divisions to the extent of being called in national team in several occasions but on the way as I gained...
Labda nikuelimishe kuwa waziri wa michezo sio waziri wa mpira wa miguu peke yake. Hata wewe ambae ni mfuatiliji wa michezo nikikuuliza ni nani mchezaji Bora wa netball au basketball hapa nchini huenda ukashindwa kumtaja!
Naangalia hapa mapambano ya ngumi yanayoendelea lakini maamuzi ya marefa yanaharibu mchezo.
Pambano la Richard na Julius Indongo, mwamuzi kamaliza mchezo prematurely, ili kumpa ushindi Mtanzania na hata pambano la mkenya Kimario na Ibrahim Mafia pia refa amemaliza mchezo na kumpa ushindi...
Hivi wewe ni Nani Kwa Wema mpaka uanze kumshauri hapa? Hivi huna ndugu zako wa kuwashauri mpaka uanze kujipendekeza Kwa Wema?
Fanya yako Wema ana watu kibao Tu wa kumpa ushauri, au kama unahisi wewe ndio atakusikiliza basi mfate nyumbani kwake na sio kutafuta cheap popularity hapa[emoji16][emoji16]
Acha ujinga wewe, kuna majirani zangu utotoni binti alikuwa na mtoto mkubwa kuliko wadogo zake wawili wa mwisho!
Yaani jamaa alianza darasa la Kwanza wakati wajomba zake wako nyumbani wakisubiria wafikie umri wa kwenda shule[emoji16][emoji16].
Tukawa tunamtania awaamkie wajomba zake!
Who taught you that babies stay in the stomach before birth?
Stomach is not a reproductive organ and hence has nothing to do with prenatal babies. Babies are born from the uterus or simply womb!
Nina mashaka sana na elimu yako!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.