Search results

  1. O

    Watanzania wanavyopambana na kizazi cha roho mbaya

    Tanzania inapitia kipindi kigumu sana,kijamii,kisiasa na kiuchumi,mbaya zaidi tumejikuta tukitawaliwa na kizazi cha roho mbaya kuwahi kutokea tangu neno Tanzania lianzishwe. Nikisikia mwanasiasa hususani wa chama tawala akiniambia niwe mzalendo binafsi huwa simwelewi,tumefikia mahala tumekosa...
  2. O

    Tatizo la vijana wasio na makazi Serikali iliangalie kwa jicho la kipekee

    Pengine viongozi wa kiserikali wako bize na issues zingine,naona nitoe hili kwan nalishuhudia binafsi kila kukicha.Kumekuwa na ongezeko la vijana wasio na makazi maeneo ya mijini hasa stand,maeneo ya starehe,maeneo ya biashara ndogondogo,mkoa wa Dar es Salaam ukiongoza. Kwa wakaz wa Dar hasa...
  3. O

    Serikali iwalipe house allowance walimu wanaoishi nyumba za kupanga kama ilivyo kada nyingine kama jeshi.

    Walimu wa Tanzania ni kada inayodharauliwa sana,walimu wanaamini kuwa mchawi wa mwalimu ni mwalimu,ikimaanisha kuwa mwalimu akiwa kiongozi,huwa anawakandamiza walimu kimaslahi hata kuwa dharau huku akiwanyima maslahi walimu japo yapo kisheria.Mifano inaanzia chini kabisa,wakuu wa shule,afisa...
  4. O

    Serikali iangalie mishahara ya walimu waliosoma sayasi na wanaofundisha masomo hayo

    Kipindi cha serikali ya awamu ya nne,serikali ilitilia mkazo wa kuandaa walimu wa sayansi,baada ya kuona walimu wa Physics,Chemistry, Biology na mathematics kuna upungufu mkubwa mashuleni.Moja ya mikakati ilikuwa kutoa mikopo kwa asilimia 100 kwa wanafunzi hao.Hoja yangu iko hivi,hawa walimu...
  5. O

    Serikali yasitisha uhamisho kwa kada ya ualimu tu

    Serikali kupitia naibu waziri Waitara imesitisha uhamisho kwa watumishi wa kada ya ualimu,huku sababu kuu ikiwa ni uongo kwa walimu wanaotaka kuhama.
Back
Top Bottom