Search results

  1. O

    Watumishi kwani Huyu Magufuli tulimkosea wapi..!??

    Mkuu,kwenye ripoti ya CAG ya mwaka jana,alisema watumishi wa umma wengi hawapati 1/3 kama kanuni za mshahara kwa watumishi wa umma,hii inatokana na makato ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu.Kwahiyo,mkuu hali ni mbaya kuliko kwa watumishi wa umma.
  2. O

    Mshahara wa July 2019 vipi?

    Tatizo huyu mzee mpaka aamue mwenyewe,kila kitu yeye,vitu haviend,ukitoka tar 19,anatamba kila jukwaa analosimama.Haya ni mapungufu ya katiba yetu.
  3. O

    Mshahara wa July 2019 vipi?

    Huu uzi mnauchezea sana,uongo kwenye masuala ya ukwel sio mzur
  4. O

    Mshahara nao tumegomewa!!!!

    Ukiambiwa katiba ya tz hajakidhi mahitaji ya watanzania,mtu mmoja tu anafanya kazi zote,hatak kugawa madaraka,siku akisahau kubofya kitufe tu,ndo haya tunayashuhudia.
  5. O

    Mshahara wa July 2019 vipi?

    Kuna ongezeko kweli mkuu?
  6. O

    Hivi ni mitandao gani huvujisha mawasiliano?

    Wewe hujui boss wa nchi anadukua mawasiliano ya mawazir wake wewe utashindwaje kudukuliwa,kama unafanya maovu watakuwa wamekunyamazia tu
  7. O

    Watanzania wanavyopambana na kizazi cha roho mbaya

    Tanzania inapitia kipindi kigumu sana,kijamii,kisiasa na kiuchumi,mbaya zaidi tumejikuta tukitawaliwa na kizazi cha roho mbaya kuwahi kutokea tangu neno Tanzania lianzishwe. Nikisikia mwanasiasa hususani wa chama tawala akiniambia niwe mzalendo binafsi huwa simwelewi,tumefikia mahala tumekosa...
  8. O

    Bungeni Dodoma: Spika wa Bunge Job Ndugai, amvua Ubunge Tundu Lissu(CHADEMA) Mbunge wa Singida Mashariki kwa kosa la utoro

    Nawaombea wale wote waliohusika kumvua ubunge Lissu,akiwa anamajeraha ya risasi 16,huku akiwa amepandikizwa vyuma mwili mzima,WAFE WOTE WAKIWA USINGIZINI,AKIWEMO JOB NDUGAI.
  9. O

    Majibu ya Bodi ya Mikopo Kuhusu Barua ya Wazi kwa Magufuli: Sheria ya Bodi ya Mikopo ya 2016

    Mimi ni mwathirika wa bodi kwenye tozo la 6% salary slip ninazo na ndio maana kwenye barua nilikolezea kuwa,Bodi ya mikopo ni kirusi kinachowatafuna wanufaika.Licha ya kuathirika na tozo,nimwathirika wa penalty na pia ni mwathirika wa muda wa kurejesha deni ni zaidi ya miaka 10.Mimi deni langu...
  10. O

    Bodi ya Mikopo inawaibia Watanzania

    Hi Hivi rais wa wanyonge anasomaga uzi mzuri kama huu,bodi ya mikopo ni kirusi kinachowatafunna watoto wa maskin,na mbaya zaid hali si shwali kwa waliosoma sayansi,ukiangalia salary slip zao utasikitika,utakuta mtu anadaiwa mpaka milion 30,ikute una penalty hadi milion 40,na makato hayako fixed.
  11. O

    Uchumi wa Magufuli: Sekta Binafsi ina-Suffer. Yalianza Maduka, Yakafuata Mashirika, Sasa ni Zamu ya Media Ina-suffer

    Kuna uzi nilitoa jana kwenye hoja mchanganyiko,wengi hawakuutilia maanan,kwa uzi huu,wadau watakubaliana nami,sekta binafsi inalia njaa kias kwamba waliojiajir kwa biashara ndogondogo wanasuffer ugumu wa maisha kiasi ya kushindwa kulipa hata chumba cha kulala hivyo wengi wameamua kulala...
  12. O

    Tatizo la vijana wasio na makazi Serikali iliangalie kwa jicho la kipekee

    Pengine viongozi wa kiserikali wako bize na issues zingine,naona nitoe hili kwan nalishuhudia binafsi kila kukicha.Kumekuwa na ongezeko la vijana wasio na makazi maeneo ya mijini hasa stand,maeneo ya starehe,maeneo ya biashara ndogondogo,mkoa wa Dar es Salaam ukiongoza. Kwa wakaz wa Dar hasa...
  13. O

    Serikali iwalipe house allowance walimu wanaoishi nyumba za kupanga kama ilivyo kada nyingine kama jeshi.

    Walimu wa Tanzania ni kada inayodharauliwa sana,walimu wanaamini kuwa mchawi wa mwalimu ni mwalimu,ikimaanisha kuwa mwalimu akiwa kiongozi,huwa anawakandamiza walimu kimaslahi hata kuwa dharau huku akiwanyima maslahi walimu japo yapo kisheria.Mifano inaanzia chini kabisa,wakuu wa shule,afisa...
  14. O

    Kabudi, Gavana wakaliwa kooni

    Kabudi anajua kula na wakubwa!Jamaa ukimuona anaongea utafikir anajua sana,issue ya makinikia iliishia wap alituaminisha pesa tutakayolipwa si ya kitoto.Kabudi endelea kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.
  15. O

    Serikali iangalie mishahara ya walimu waliosoma sayasi na wanaofundisha masomo hayo

    Kipindi cha serikali ya awamu ya nne,serikali ilitilia mkazo wa kuandaa walimu wa sayansi,baada ya kuona walimu wa Physics,Chemistry, Biology na mathematics kuna upungufu mkubwa mashuleni.Moja ya mikakati ilikuwa kutoa mikopo kwa asilimia 100 kwa wanafunzi hao.Hoja yangu iko hivi,hawa walimu...
  16. O

    Serikali yasitisha uhamisho kwa kada ya ualimu tu

    Serikali kupitia naibu waziri Waitara imesitisha uhamisho kwa watumishi wa kada ya ualimu,huku sababu kuu ikiwa ni uongo kwa walimu wanaotaka kuhama.
Back
Top Bottom