Hivi kilichotokea mlima Hanang na Kawetele hayawezi kutokea Mwanza? Itakuwaje na ile milima ya mawe?
Pia soma
Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 80 na Majeruhii 133
Mbeya: Mlima Kawetele wameguka, nyumba zaidi ya 20 zadaiwa kufunikwa
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri.
Wakuu nina swali kwa mwenye ufahamu atusaidie wana jukwaa.
Tff wanatumia vigezo gani kugundua kwamba kitendo flani kilichofanyika ni cha kishirikina na kutoa adhabu kwa mujibu wa kanuni zao?
Mfano hii issue ya Simba Sc kuukataa uwanja wa Azam Complex sio imani...
Habari za wakati huu ndugu zangu katika jukwaa hili?
Hivi ni sahihi hii timu kuitwa Kilimanjaro stars ilhali jina kilimanjaro linawakilisha mlima na mkoa? Inaleta contradiction.
Kwanini kama lengo ni kuutangaza mlima isiwe specific timu ikaitwa Mount Kilimanjaro Stars kuliko hivi sasa ambapo...
Habari za mchana huu wana jukwaa?
Kuna kitu kimekua kinaendelea kwa muda sasa jijini Mwanza kinanishangaza.
Kwa muda mrefu sasa kuna baadhi ya maeneo jijini Mwanza yanapitia mgao mkali wa maji kwa sababu wanazozijua.
Kinachoshangaza sana ni kwamba pamoja na kwamba chanzo cha maji ya bomba...
Habari za majukumu wana jukwaa?
Nimekuwa nikijiuliza hili swali. Ikiwa ugonjwa wa kisukari ni matokeo ya organ ya kongosho kushindwa kuzalisha kimeng'enya cha insulin cha kutosha kwenda ku balance kiwango cha sukari kwenye damu.
Je, haiwezekani muathirika wa hili tatizo akafanyiwa upasuaji...
Wakuu mpo?
Naamini wengi tunaangalia mechi inayoelekea mwishoni kati ya Chelsea na Man City ila pia huenda tunnangalia mechi inayoendelea kati ya Lazio na Roma ambayo huenda ikaisha kwa suluhu ya 0-0.
Hivi kwa logic ya kawaida ni sahihi Chelsea na Man City walifungana 4-4 wapate point moja...
Habari zenu wana jukwaa?
Kuna kitu kinaendelea katika huu mtandao nimefuatilia naona sio sahihi na kama wanafanya sijui wanafanya kwa sheria gani.
Juzi kati hapa nilikuwa nachat na kipenzi cha roho yangu nikashangaa nikiandika neno "sex" katika sentensi zangu, text husika haiwi delivered ila...
Wakuu habari za mchana?
Nikiwa nime tune tv kufuatilia kipindi changu pendwa cha sports cha kipenga extra ni shtushwa na neno Kimoja cha nguruwe likitamkwa na mgeni Mjata Mjata shabiki kindaki ndaki wa Makolo wakiwa wanaongolea matokeo ya Man United.
Naona imebidi kipindi kifutwe kabisa saizi...
Wakuu habarini za jioni?
Nimekuwa nikufuatilia hiki kituo cha televisheni kwa muda mrefu ila sikuwahi kuwaona wakiwa na habari za kimataifa nje ya East na Central Africa.
Naona siku za karibuni wamekuwa wakiturushia matukio ya kinachoendelea Gaza katika habari yao ya saa 2 usiku, je huu ndo...
Habari wakuu
Nimekuwa nikifuatilia kwa muda mrefu programs mbalimbali za kituo chetu hiki maalumu kwa ajili ya kutangaza vivutio vilivyomo ndani ya nchi yetu. Napenda sana na nafurahishwa na hii channel japo kuna kitu wananikwaza.
Napenda sana historia lakini kila nikiona historia...
Wakuu habari?
Hii trend ya kumsifia Rais kwa kila kitu hata ambavyo hajafanya na hahusiki navyo direct inazidi na tunakoelekea itawakatisha tamaa baadhi ya watu wenye moyo wakujitolea.
Kwenye taarifa ya habari leo ITV kuna mwananchi wilayani Kibiti kajitolea eneo lenye ukubwa wa hekari 9 kwa...
Habari wana jukwaa?
Inasemekana meli moja inayopeperusha bendera ya Tanzania imekamatwa na vikosi vya wana maji vya Iran ikiwa na shehena ya mafuta ghafi ipatayo tani 900 ambayo ni ya wizi.
---
Iran's Revolutionary Guards seized a tanker holding 900 metric tons of "smuggled fuel" and 12 crew...
Habari wana jukwaa? Naomba niende moja kwa moja kwenye mada.
Leo nikiwa naangalia mapokezi ya Rais Kagame wa Rwanda nchini, TBC walirusha kipindi flani cha historia kikionyesha ziara ya Mwalimu Nyerere nchini Rwanda enzi za Rais Habyarimana.
Katika ziara yake hiyo, mwalimu alitembelea kiwanda...
Kwema wana jukwaa?
Kuna jamaa yangu kakumbwa na mkasa amenisumulia nimebaki kinywa wazi.
Ni hivi jamaa anaishi na mke wake na ndoa haina muda mrefu akiwa anajishughulisha na kazi za miradi ambayo huwa inamfanya awe mtu wa kusafiri sana.
Sasa jamaa huwa ana utaratibu wa kuja na gunia la mkaa...
Ni matumaini yangu hamjambo na mnaendelea na shughuli za kila siku za ujenzi wa Taifa.
Wakuu nimeamua kuja na huu uzi ili tujaribu kushirikishana ni mambo yepi tunahisi/kudhani yanaweza kuwa kwenye ilani ya Uchaguzi ya chama kikuu cha upinzani nchini CHADEMA.
Kama tunavyojua kila chama...
Habari wana jukwaa.
Kama kawaida ni jumapili tulivu nimepumzika naangalia Tv naona kuna tukio linaendelea Ikulu la mabalozi wa Marekani na Vietnam wanajitambulisha.
Sasa katika kujua hili na hili kuhusu hili tukio na uhusiano wa Tanzania na mataifa hayo mawili naona mtangazaji Emmanuel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.