Habari wadau?
Kwa muda mrefu sana kuna jambo huwa limekuwa likijitokeza mara kwa mara kwangu, kwamba mara nyingi nikiwa naangalia majira kwenye saa ya mkononi au simu nakuta masaa na dakika zinafanana.
Mfano 02:02, 10:10, 20:20, 15:15 N.k, yaani naweza kujiuliza hivi saa hivi saa ngapi saa...
H1 toleo la kwanza la hammer ( Mwaka1992 - 2002) chini ya kampuni ya kimarekani AM General baadae GM.
Gari hili lilitengenezwa mahususi kwa matumizi ya kijeshi, pia zilitoka models kwa ajili ya raia wa kawaida kutokana na demand kubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.