Yaani muda wowote ninaotaka kuangalia muda ndio nakutana na mfanano huo, iwe Asubuhi, mchana, usiku.
Mfano naweza kurupuka usingizini Asubuhi nikacheki saa 05:05, labda nimekaa mahali mchana nikajiuliza hivi saa hivi saa ngapi nikakuta 13:13, 14:14, 15:15 na Kuendelea
Pale muda wowote tuu...
Hapo
Nimekuelewa Mkuu haswa hapo kwenye ubungo kunilazimisha kuangalia muda. Na wakati nakua naangalia nakuwa relaxed baada ya kuangalia ndio nashtuka imekuwaje tena kufanana kumejirudia
Habari wadau?
Kwa muda mrefu sana kuna jambo huwa limekuwa likijitokeza mara kwa mara kwangu, kwamba mara nyingi nikiwa naangalia majira kwenye saa ya mkononi au simu nakuta masaa na dakika zinafanana.
Mfano 02:02, 10:10, 20:20, 15:15 N.k, yaani naweza kujiuliza hivi saa hivi saa ngapi saa...
The Iranian state television reported explosions in Isfahan.
Israel had promised to respond after Iran last Saturday launched a barrage of drones and missiles on the country.
The United States and a number of European countries have been calling on Israel not to respond.
More details to come...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.