Habari za uvumi toka Ar zinasema ex mp wa tz awamu ya 4a alionekana jana kanisani kwa Ngurumo akiwa na bible plas tenzi za rohoni.EL alionekana akiwa viti vya mbele pia alisikika zaidi wakati wa mapambio kushinda wenzake.Pambio lenyewe lilimbwa Sitarudi tena Misri naenda kanani.Baadaye...
Kweli dunia ina mambo toka kitambo,sa uliogopa nn kumuuliza hayo yote toka hapo awali,kwa msaada wetu ebu 2juze baadhi za majibizano yenu 2takupa jibu msaada zaidi
unashangaza,elewa wanawake wengi ambao ni wake za wa2 wamekutwa na wenzi wao wakiwa ngorongoro creta, utofauti wengine wameuza wengine wametoa bure kutokana sababu tofauti, umasikin au tamaa ya fedha lakin swala la kupendwa na kupenda liko palepale.INAWEZEKANA TENA SANA.
Pole najua una maumivu cos una akili timamu co kama wazee wa kuwepowepo kwanza,i do know ur c'tuation but nakushauri jiweke ktk mazingira ya kuoleka co kutamanisha,bleave or not wapo wanaume wanatafuta wanawake wenye cfa za kuoleka wanakosa even i b4 cjakutana na wangu nime2mia 6yrs kumpata,jipe...
Inategemea,lakin kwa mwanamke iko shida kidogo,wanaume ni umri sahihi ila 2 uwe na uhakika wa maisha na mpangilio mzuri wa uzazi co unazaa dazen wa mwisho akuite babu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.