siasa za Tanzania imejaa fitina wakati mwingine nafikiria kama vile hatuna wapinzani wa kweli maana hata hao wapinzani wanapingana wenyewe na hivyo kutoa mwanya wa kuweza kusambaratishwa.Hebu angalia kinachoendelea katika vyama vyetu vya siasa kila kukicha ni migogoro za hapa na pale.CCM wao...
inawezekana kuna ukweli katika hilo unalolisema lakini swali la kujiuliza huyu anayetoa taarifa hana personal interest hasa ukizingatia ni mtoto wa wa nje ya ndoa kama usemavyo.hata hivyo elimu ni nyezo tu na wala si kigezo cha kuwa kiongozi kuna watu hata darasa hawalijui lakini wanaongoza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.