Waungwana mambo vipi?
Hapo chini nimepata ramani mtandaoni tu na haina vipimo sahihi.
Naomba msaada kwa uzoefu wenu katika ujenzi moja wapo kati ya hizi ramani zinaweza kutosha kwenye kiwanja cha SQM 280?
Kama una ramani ya 3 bedroom na gharama itakua msaada pia.
ENEO LA UJENZI NI MWANZA-...
Mambo vipi JF .
Ni muda sasa nimekuwa nikitumia free Microsoft word office ku type kazi, CV, barua n.k.
Sasa siku hizi nikijaribu haikubali ku type wala ku edit chochote. Naomba msaada mnatumia nini kama mbadala wa free Microsoft Office?
Note: nimetumia Libre office lakini sio nzuri sana...
Mambo vipi wana JF?
Kwa sasa kuna trending ya kuongeza followers hasa Instagram,
1. Hawa followers ni kama ulikuwa nao 100 unaweza kulipa mtu na unapata 10k followers,
Kumbuka hapa sio zile app za playstore ambazo unapata followers watano, n.k
Hii ndani ya 24 hours mtu anapata followers hata...
DHURUMA MALIPO YA KUANDIKISHA POST CODE ...............
(retweet hadi kwa waziri) Nasikitika kuandika kuhusu dhuruma iliofanyika Mbeya, zoezi la uandikishaji post code limefanyika Mkoa wa Mbeya na kwa wizi wa malipo kwa vijana waliofanya kazi.
..
Baada ya matangazo ya kazi hiyo kutoka vijana...
Habari wakuu!
Mimi ni MWALIMU wa shule za msingi na awali,
Natafuta kazi kwenye shule hizo:-
1.nina DIPLOMA IN EARLY CHILDHOOD EDUCATION
2.nina CERTIFICATE IN INFORMATION AND COMMUNICATION TECHNOLOGY.
3.NI MWALIMU WA MZURI :-
*GEOGRAPHY
*KISWAHILI
*ENGLISH
*SCIENCE...
NAHITAJI KIBANDA CHA M PESA BEI ISIOZIDI 200,000/=.
Wakuu mambo vipi?
Nahitaji kununua kibanda cha m pesa kiwe cha chuma au mbao.
Bei isizidi 200,000/=
Kama unauza au unafahamu anae uza nijulishe.
Nipo Dar es Salaam/ Kinondoni.
Habari wakuu.
NATAFUTA ENEO KWA AJILI YA MGAHAWA AU M PESA MTAJI LAKI TANO TU. Nimehangaika sana hapa Dar sasa nimepata laki tano kama mtaji wa kuanza kufanya biashara ndogo ndogo kwa sababu njaa ni kali sana.
Hivyo nimefikiria kuanza biashara za migahawa, baba/mama lishe, m pesa au kuuza nguo...
Hiki ndio kinachoendelea huko Twitter na mtandao wa change
Movement #ChangeTanzania started this petition to bet awards and 3 others
This is a call to BET Awards hosted and produced by Black Entertainment Television (BET) to disqualify Diamond Platnumz
Diamond Platnumz is a world-renowned...
JE SERIKALI ITOE AJIRA NYINGI AU ITOE AJIRA KIDOGO/ CHACHE KWA MALIPO MENGI?
Kila mtu anatamani kupata kazi ili aendeshe maisha yake kwa uhuru, furaha na mambo kama hayo.
Watu tuliopo mtaani ambao hatujapata ajira tunalalamika kila siku pengine SERIKALI itatoa ajira za kutosha wananchi wake...
Rais Samia amemteua Dkt. Jabir Bakari Kuwe kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) akichukua nafasi ya Eng. James Kilaba
Jabir Bakari Kuwe
CV:
Jabiri Kuwe Bakari (Ph.D) is a Tanzanian pracademic: his experience spans both the academic and practical realms. He is a...
NATAFUTA FREMU YA BIASHARA YA CHAKULA KINONDONI AU ILALA.
Natafuta fremu kwa bajeti isiozidi elfu sitini kwa mwezi.
Maeneo kama:
Magomeni
Makumbusho
Kinondoni studio
Mkwajuni
Kanisan Magomen
Mapipa
Kama unayo au una taarifa NAOMBA msaada nipate hiyo frem kwa ajili ya kuuza
Chai, chapati...
Roma MKATOLIKI ametanganza Nia ya kucha muziki soon.
Kwanza kabisa ameeleza wimbo wake wa kwanza ilitoka 2007 na sasa anatoa wimbo wa mwisho, hivyo ametoa shukrani kwa wale wote walio support kazi zake za sanaa tangu mwanzo!
Habari ndugu zangu katika elimu!
Mimi nimekuja kutafuta ushauri wa kituo gani kizuri kwa masomo ya QT, Kinachopatikana kinondoni, magomeni, Morocco, studio au maeneo karibu na hayo.
Nahitaji kusoma na kufanya mtihani wa kidato cha nne mwakani
Somo ni History, Geography na mathematics...
Itakua jambo la furaha kuona club zetu pendwa za mpira wa miguu zikipatikana kwenye games kama fifa, Pes na magame mengine!
Hizo picha nimezitoa kwenye ukurasa wa habari tu za kimichezo africa zone !
Leo ni siku ya PILI watu waki enjoy siku kuu ya Eid!
Nimetembea hadi coco beach kwenye PARTE AFTER PARTE YA MKOA LEO, nilifika pale mida ya saa kumi jioni nikiwa nataka kuona kwa macho kama ni kweli watu wana enjoy bila hofu!
Nimeshuhudia watu weeeengi kabisa watoto kwa watu wazima, watanzania...
Mambo vipi!
Kama unavojua rich mavoko aliondoka wasafi na kuanza kujitegemea, lakini hajawahi kutoa ngoma wala kuskika kama mwanamuziki mkubwa! sasa harmonize amesema kuhusu mchizi!
Familia ngapi zipo nyuma ya Rich Mavoko na zinamtegemea yeye kwakila jambo hasa hili la kupata mkate wa kila...
Mambo vipi?
.........
Label ya muziki Tanzania, WASAFI ( WCB)
ni label kubwa sana hapa bongo,lakini pia imekua na matukio mengi mazuri na mabaya Kuhusu management nzima.
Leo jamaa Salam SK amefuta taarifa zinazomuonesha kama Manager wa Diamond Platnumz
Na Diamond Platnumz pia ameweka...
Jana usiku nimeambiwa na mtu kama story tu kuwa
1... " Kuna jamaa amepatikana na ugonjwa wa corona pale Aga Khan hospital "
2. "Leo asubuh kwenye mishe mishe kariakoo nmemkuta mtu akisimulia Habari ya Corona Aga Khan "
Je hizi ni taarifa za kweli au uongo?
NOTE: Takribani watu 11,000...
Habari za wakati,
Nimekuwa nikitumia ADOBE PREMIERE PRO kuedit video zangu lakini siku hizi kama week au zaidi,
1. Nikiwasha laptop inakuwa nzito kuwaka
2. Nikifungua ADOBE pia inasumbua na inaleta ujumbe huo kwenye picha
3. Nyimbo, video, picha, zinapotea bila kufutwa
Naomba msaada hapo...
Leo nimeenda hospital na Nimeona kuwa nina vidonda vya tumbo.
Lakini nimenunua dawa, nikatumia sawa sawa tu.
Na sasa nimegundua ime expire!
Nina wasi wasi sana,
Nifanye nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.