Naomba kuuliza hili swali maana so far naona kila kampuni na kila freelancer ana bei zake kutokana na yye anavyojiona, naombeni wazoefu mnisaidie hapa, on average, typical price ya website nzuri, professionally done and maintained inakua ina range kwenye how much?
Habari wadau, nipo hapa kuomba ushauri wenu, nakutana na wafanyabiashara wengi wanaofanya biashara zao kwenye mtandao wa Instagram. Katika hawa Wafanyabiashara naona wengi wanapata mafanikio wakipostiwa na watu kuliko wale wanaotangaza kwa kulipia "Sponsored Ads" lakini bado naona idadi ya watu...
Nmegundua kwamba sio wafanyabiashara wengi wanatumia mitandao (Internet) kuwapata wateja wao, wakati ukweli ni kwamba kwa kutumia mitandao hasa mitandao ya kijamii unaweza kuwapata wateja wengi kwenye biashara yako na kukuza soko lako, hii ni dhahiri hata kwa wale wachache waliochagua kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.