Nampenda sana Babbie Kabae mtangazaji wa Clouds Tv, kutokana na upeo wake mkubwa wa kufikiri, kujibu hoja na kuwa mbunifu. Hivi how old is she? Kasomea chuo wapi? (i heard ni mkenya but am not sure and i want to know)
Sio wa 360 tu mbona wote wana kula bata sana na wako vzuri kiafya mfano XXL. Lakini kuhusu kulipwa vizuri sijajua kama malipo ya mshahara yanaangalia kipindi ama elimu ya mtangazaji. Ni hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.