Karibu sana. Kesho asubuhi mpigie simu Ramarao, mwambie million urgent issue umetuma email unaomba majibu haraka. India iko mbele masaa 2.30. Mwambie unaomba jibu haraka. Tuma kwenye email address zote hizo za Apollo Hyderabad.
Ukimpata Dr. Bandari, he is very good. Kanitibu, si hadithi. We...
Dr. Trilok Bhandari ni wa Apollo Hosp. Hyderabad, India.
Mr. Radhey Mohan, Ramarao na Lokesh, nao pia wa Apollo Hosp. Hyderabad, India
Hawa ukiandika email, scan vpimo na reports watumie, watakupa gharama, omba na discount.
Regency Hosptali.....Upanga,DSM....mwenye hospitali ndiye Dr. Kanabar...
"APOLLOHOSPITAL HYDERABAD"...INDIA.
Detailszote below;
Dr.Trilok Bhandari, daktari wa CANCER
bhandaritrilok@rediffmail.com
Muandikieemail atakujibu. Peleka reports zote navipimo. Scan, tuma.
Staffwa International Desk list yao hapo chini;
RadheyMohan P.
radheymohan_p@apollohospitals.com...
Pole sana kaka yetu.
Nenda hospitali ya Regency kamuone Dr. Kanabar watakusaidia kwa gharama nafuu.
Hospitali za Apollo ni expensive sana though matibabu ya uhakika.
Kwa nini usiombe msaada wizara ya afya? Atibiwe na serikali?
Dr. wa Cancer anaitwa;
TRILOK BHANDARI...
I know someone who can assist with fresh foods.
He mixes fresh fruits, vegs, and some spices, blends them to liquid form, no water added.
Unakunywa 3 times a day. Ila mchanganyiko unakuwa na onions, ginger, garlic, limao, apples, apricots,
etc. Vitunguu vinaleta ugumu wa kuinywa ila ukiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.