Wakuu leo napenda kutumia jukwaa hili kuomba mawasiliano na watu waliosoma shule ya sekondari ya Popatlal iliyoko Tanga. Kwa atakayeliona tangazo hili aache namba yake ya simu au barua pepe. Nakumbuka sana enzi hizo mkuu wa shule bwana K.R. CHAUDRI na walimu wengine kama vile Mrs Swai (mwalimu...
Wana JF nadhani mtakumbuka sana bomoabomoa ya miaka ya 1996 na kuendelea. Nakumbuka ilileta kizaazaa kweli mpaka ikageuzwa ni agenda ya kisiasa. Sasa naomba mnifahamishe kwa kuchangia. Je kuna faida yoyote iliyoonekana baada ya bomoabomoa hiyo. Maana kipindi hicho ilikuwa inaonekana ni uonevu na...
Wana Jamii kuna jambo limepelekea leo kuuliza mke wa Makamu wa kwanza wa serikali ya Mapinduzi Zanzibar-Seif Shariff Hamad.
Nimeanza kumtambua Seif tangu nikiwa mtoto mdogo lakini mwenye uelewa wakati ule alikuwa ni Waziri Kiongozi wa serikali hiyo ya Mapinduzi Zanzibar mpaka alipokuja kuwekwa...
Wana JF nisaidieni.
Pia wataalamu au wanojua mnifahamishe. Kwamba form Four wamemaliza mitihani na form Six wanamaliza mitihani yao mwezi wa pili mwaka kesho 2012. Lakini wote hao wangeoa, kuolewa ama kupata mimba wakiwa wanafunzi wangepata matatizo makubwa sana ikiwemo kufukuzwa shule au...
Wana JF naomba mnifahamishe au mchangie hoja hii: Kwa nini miss Tanzania huwa akishinda ni lazima awe ametokea Dar es salaam nikimaanisha Ama Miss kinondoni, Miss temeke au Miss Ilala.
Hivi washiriki wanaotokea maeneo mengine kwa nini huwa hawawi Miss Tanzania?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.