Wakuu mnotumia whatsapp Mimi natumia tecno WX3, nina shida moja kuna mda statuses za watu zinafutika zote kwenye screen bila ku-view, yaani kuna kuwa hakuna Recent updates wala viewed updates, screen inakuwa empty!
Nimejaribu kutumia WhatsApp zingine hali inakua hivyohivyo! Shida ni nini...
Wakuu mnotumia whatsapp!
Mimi natumia tecno WX3 , Nina shida moja kuna mda statuses za watu zinafutika zote kwenye screen !bila ku view Yaani kuna kuwa hakuna Recent updates wala viewed updates ,screen inakuwa empty! Nimejaribu kutumia whatsapp zingine hali inakua hivyohivyo!.Shida ni nini ...
Habarini wana jamvi ,kwa yoyoye mwenye kuifahamu hiyo kozi hapo juu anifahamishe inahusiana na nini?,Je soko lake la ajira lipo? na vyuo gan vinavyotoa hiyo kozi?.Msaada tafadhal!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.